TANZIA Sheikh Suleiman Kilemile afariki dunia

TANZIA Sheikh Suleiman Kilemile afariki dunia

Dini ya kiislamu inakataza mzaha sehemu yoyote sio tu msibani.tena unapokuwa makaburini hutakiwi kusema neno lolote ila kumtaja allah tu.wewe ni muislamu wa wapi unasema dini inaruhusu mzaha waislamu ubwabwa mpo wengi
Sina chuki na masheikh kwa sababu ni viongozi wangu. Na mzaha hata msibani upo. Mimi ni muislam safi tena kuliko wewe.
Mtume Muhamad saw aliwahi fanya mzaha lakini hakuwahi kutukana. Allah akufnyie wepesi kuacha kutukana. Sema amiiin

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe dini yako ndio hii
Na huu ndio ukafiri wangu sababu tu kuchukizwa kumfananisha shekhe na mwanamke
IMG-20200507-WA0000.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dini ya kiislamu inakataza mzaha sehemu yoyote sio tu msibani.tena unapokuwa makaburini hutakiwi kusema neno lolote ila kumtaja allah tu.wewe ni muislamu wa wapi unasema dini inaruhusu mzaha waislamu ubwabwa mpo wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie ndio wale waislam mnaye fanya tuchukiwe duniani. Huna tofauti na ISIS. Mtume Muhamad saw alifanya mizaha mingi. Mojawapo ni alimbeba mtoto mdogo na kumuita kindege. Ya pili alimwambia sahaba yake mbona macho yamekua meupe akimaanisha amekua kipofu na baada ya mda akamuambia ni utani. Hii ni dini ya Allah na inahitaji busara kuliko nguvu matusi na fujo.
Mfano aliingia bedui msikitiji akatoa dushe akaanza kukojoa. Maswahaba wakataka kumpiga,mtume akaawaambia mswahaba muacheni amalize haja yake.


Ndipo bedui akamaliza na mtume akamwambia kistaarabu hapa ni mskiti ni mahali pa kusali na kusoma quraan si pahali pa kujisaidia. Kisha akamwanbia nenda.

Yule bedui alirudi na kuslimu. Nimeandika kwa kifupi ili kuonesha busara za mtume. Na wewe jaribu kitumia busara na Allah atuzidishie busara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umati uliojitokeza kumzika Shekhe unatia simanzi, Hawa wanaume walioshiriki Wana wake zao, Wana watoto, Wana marafiki, hao watoto nao Wana marafiki.

Kwanini tumeifanya Tanzania nchi ya mzaa kwenye afya za watu?

Wapo watu hapo wanaenda kuwaambukiza watu wasio na hati corona....tunataka kuzika Kama ulaya ndipo tujue corona IPO?

Serikali pls waoneeni wananchi huruma, viongozi wa dini waoneeni wannchi huruma,.

TUNAUANA
Jilinde, linda familia yako na uwapendao. Usitegemee serekali
Wacha wajinga wasio na akili walale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nadhani in element ya watu kutaka kutumia vibaya baadhi ya Mambo ya kiimani, unapoona baadhi ya Christian wamevaa kanzu kwenye maandamano ya kwenda kumhifadhi shekhe katika kipindi hiki Cha covid 19 unapata wasiwasi je, tunamtumikia Nani au tunataka kumwaminisha Nani kwamba mikusanyiko Ni muhimu wakati huu.

Then serikali Kama imetulia hata makatazo hakuna, hapana hapa kuna watu waliopangwa....

Jipe muda zipitie zile picha utaona watu ambao naamini walifanya Mambo haya kimkakati na walichukua taadhari zote za kujikinga huku baadhi ya wananchi wakiwa hawajui.

Ewe mwananchi, chukua taadhari Corona inaua. Epuka kufuata mkumbo
 
Hii nadhani in element ya watu kutaka kutumia vibaya baadhi ya Mambo ya kiimani, unapoona baadhi ya Christian wamevaa kanzu kwenye maandamano ya kwenda kumhifadhi shekhe katika kipindi hiki Cha covid 19 unapata wasiwasi je, tunamtumikia Nani au tunataka kumwaminisha Nani kwamba mikusanyiko Ni muhimu wakati huu.

Then serikali Kama imetulia hata makatazo hakuna, hapana hapa kuna watu waliopangwa....

Jipe muda zipitie zile picha utaona watu ambao naamini walifanya Mambo haya kimkakati na walichukua taadhari zote za kujikinga huku baadhi ya wananchi wakiwa hawajui.

Ewe mwananchi, chukua taadhari Corona inaua. Epuka kufuata mkumbo
Kijana uwe unafanya tafiti kabla ya ukurupuka...nani alikwambia kanzu huvaliwa na waislam pekee....? Kula urojo utulie.
 
Hii nadhani in element ya watu kutaka kutumia vibaya baadhi ya Mambo ya kiimani, unapoona baadhi ya Christian wamevaa kanzu kwenye maandamano ya kwenda kumhifadhi shekhe katika kipindi hiki Cha covid 19 unapata wasiwasi je, tunamtumikia Nani au tunataka kumwaminisha Nani kwamba mikusanyiko Ni muhimu wakati huu.

Then serikali Kama imetulia hata makatazo hakuna, hapana hapa kuna watu waliopangwa....

Jipe muda zipitie zile picha utaona watu ambao naamini walifanya Mambo haya kimkakati na walichukua taadhari zote za kujikinga huku baadhi ya wananchi wakiwa hawajui.

Ewe mwananchi, chukua taadhari Corona inaua. Epuka kufuata mkumbo
Kwahiyo saivi tubaguane kwenye mazishi
 
Back
Top Bottom