Elections 2010 Shein ajitoa kinyanganyiro cha Urais Zanzibar

Elections 2010 Shein ajitoa kinyanganyiro cha Urais Zanzibar

Status
Not open for further replies.

Rutunga M

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2009
Posts
1,769
Reaction score
1,390
Nimepata taarifa hivi sasa kutoka kwa mmoja wa waandishi walioko Dodoma kuwa kuwa Dk. Shein ameondoa jina kwenye kinyanganyiro cha urais Zanzibar.

Mwenye data atupatie jamani
 
Siwezi shangaa kujitoa,maana ilionekana kabisa kuwa CCM-Bara ndiyo wanamtaka Shein ili hali CCM-Kisiwandui wakiwa hawamtaki hata kusikia,walikuwa wanamuambia wazi kuwa yeye si mwenzao na hata Katiba inasema wazi kuwa Rais wa ZNZ lzm awe na uwezo wa kupiga kura kwenye jimbo lolote kisiwani ZNZ;Shein hakuwa na sifa hiyo!

By the way,iweje hadi leo kwenye zama hizi za demokrasia,kikundi cha watu wa Bara overwhelmingly ndiyo wawachagulie ZNZ mgombea wao?Kumbuka mwaka 2000 Dr Ghalib Bilal alishinda kwa kura nyingi kura za wajumbe wa CCM-ZNZ lkn hawa CCM-Bara ikamchagua Aman Karume na kwa uwingi wao mjengoni wakamfanya ashinde;kama Shein kajitoa ni ishara ya wazi kuwa sasa CCM imeanza kuwasikia wapiga kura wa CCM-ZNZ na ni dhahiri sasa Dr Ghalib Bilal ambaye ni hasimu namba moja wa Rais aondokaye Karume atatangazwa kuwa mgombea wa CCM-ZNZ akiendeleza na kurithi makundi yake yale ya Karume vs Komandoo!

Swali,je ukifanyika uchaguzi wa uhuru na wa haki,Ghalib atamshinda Maalim?
 
Swali,je ukifanyika uchaguzi wa uhuru na wa haki,Ghalib atamshinda Maalim?

Maalimu hajawahi kushindwa uchanguzi Zanzibar ni hila na fitna tu....ndizo humnyima uongozi
 
Tuwaache Wazanzibar wachague mtu wampendaye. Unajua bara kuna ndugu zetu wanaojidai kuwa wanazijua saaana siasa
na ndio walio m-mislead shein kwa kuona wamepata tu makamu mwingine wa rais (yule mama au kule monduli) basi hapo wamepata sababu ya kumpiga chini shein. Wanaona kuwa ni wenye nguvu saana kiasiasa kumbe ni siasa za kulazimisha tu. Lakini walijua kuwa shein hatopata na ilikuwa ni kupata sababu ya kutompa umakamu rais tu tena.
 
I cant believe lakini kuna post yangu moja ngoja niitafute...

According to CCM Arithmetics, it is very simple and always has been the same. Majina ya Dr. Bilal na Dr. Sheni yatapitishwa, Kamati Kuu CC itamwomba Dr. Bilal ajitoe ampishe Dr. Sheni kwa heshima kabla ya majina kupelekwa NEC, najua Bilal atakataa ombi hilo atadai majina yote yapelekwe NEC na kura zipigwe, nina uhakika wa 90% Dr. Bilal atapata kura za kutosha lakini NEC itapitisha jina la Dr. Sheni, mwisho kambi ya Dr. Bilal itasusia uchaguzi. Alternative kwa vile mzee wetu Sheni huwa hataki makuu atakubali yaishe.
 
Tuwaache Wazanzibar wachague mtu wampendaye. Unajua bara kuna ndugu zetu wanaojidai kuwa wanazijua saaana siasa
na ndio walio m-mislead shein kwa kuona wamepata tu makamu mwingine wa rais (yule mama au kule monduli) basi hapo wamepata sababu ya kumpiga chini shein. Wanaona kuwa ni wenye nguvu saana kiasiasa kumbe ni siasa za kulazimisha tu. Lakini walijua kuwa shein hatopata na ilikuwa ni kupata sababu ya kutompa umakamu rais tu tena.
Kama ni kweli basi wamemuingiza mjini mzee wa watu lakini kuhusu makamu sahau huyo wa monduli atausikia redioni tu.
 
Kwani jamani ukiwa makamu wa rahisi lazima pia utake Urahisi wa Zenj ,mi nafikiri miaka sijui 12 ya umakamu urahisi wa daktari Shein unatosha na inabidi akapumzike kwanza huko Mkanyageni akiendeleza ilani za chama chake ati,pia akasaidie Kilimo Kwanza huko Mkanyageni sio lazima atoke magogoni ahamie pale mnazi mmoja
 
Wengine nimesaikia wakisema kuwa Shein bado hajajitoa na mpambano unaendelea
 
Tuwaache Wazanzibar wachague mtu wampendaye. Unajua bara kuna ndugu zetu wanaojidai kuwa wanazijua saaana siasa
na ndio walio m-mislead shein kwa kuona wamepata tu makamu mwingine wa rais (yule mama au kule monduli) basi hapo wamepata sababu ya kumpiga chini shein. Wanaona kuwa ni wenye nguvu saana kiasiasa kumbe ni siasa za kulazimisha tu. Lakini walijua kuwa shein hatopata na ilikuwa ni kupata sababu ya kutompa umakamu rais tu tena.

Karume walidai ni mbaya na CUF walidai kwamba hawamtambui, lakini baadaye wakageuka na kuanza kumlamba miguu na kudai eti aendelee kuwa Rais wa Zenj hata baada ya kipindi chake kwisha! Huyu Shein naye watadai aendelee baada ya awamu yake kwisha, kama atachaguliwa kuwa Rais!
 
.... this time for CUF.... waka waka eehee! tatizo kamuungano keti katakuwa mashakani.
 
hIZO SIASA JAMANI KAWAIDA KIPINDI KAMA HIKI, INASEMEKANA FITNA HIZO ZINAFANYWA NA WAPAMBE WA BILAL ILI WAJUMBE WAJUE MZEE HAYUPO WAHAMISHE MAWAZO KWA WENGINE NAYE AKIJUA NDO NAMBA MBILI AWE NAMBA MOJA.
 
itakuwa vizuri sana kama atajitoa tuwaone hao wanaojitaa wazee wa ccm kila siku wanataka kupandikiza viongozi wanaoendana na maslahi yao badala ya taifa.

hawa ccm badala ya "nchi kwanza" wao ni " chama kwanza"
 
KATIKA MADA KAMA HII (ZINAZOHUSU zENJI) NAMISS MICHANGO YA GEMBE NA MWIBA.
 
Kwani jamani ukiwa makamu wa rahisi lazima pia utake Urahisi wa Zenj ,mi nafikiri miaka sijui 12 ya umakamu urahisi wa daktari Shein unatosha na inabidi akapumzike kwanza huko Mkanyageni akiendeleza ilani za chama chake ati,pia akasaidie Kilimo Kwanza huko Mkanyageni sio lazima atoke magogoni ahamie pale mnazi mmoja

Kwa kuwa hujui hukutakiwa kuiingiza hii point kwa kuwa unaonekana upo upande gani. You may correct you fact by knowing that Dr Shein hand picked by BWM at his current post after the death of Dr Omari Ali Juma which occured on 4 july 2001. Do the maths now
 
Tatizo, sera za CUF ni za chuki, ubaguzi, udini, nk.

Hebu toa synopsis ya hizi sera ambazo umezitaja zinazoendana kinyume na sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992, inayomtaka msajili kukifuta chama chenye sera kama hizi. Na kwa nini msajili mpaka leo hajachukua hatua muafaka?. Otherwise you will be regarded as a parot who always repeat what others say without knowing the meanings. To show you are not a parot elaborate with vivid examples from CUF policies perspective!.
 
Tatizo, sera za CUF ni za chuki, ubaguzi, udini, nk.

Tatizo lako ni kwamba akili na macho yako yanadanganyika na ujanja wa CCM!! Hakuna Rais aliyepata kutawala Tanzania anaeendekeza UDINI na ukabila kama Kikwete; sina haja ya kudhihilisha hilo, mifano iko wazi ila nikuambia tu tabia yake ya kupeleka miradi ya kiwanja cha ndege , bandali na Viwanda ili mradi Bagamoyo ndiko anakotoka ni ashara tosha ya mtu anayejipendelea kwa maamuzi yake bila kuangalia faida kwa nchi nzima.
 
Tusisahau: Dr Shein, kama atajitoa, ni kwa sababu ya afya yake!

Kwani wakati anaenda kuchukua fomu za kuomba ateuliwe kupeperusha bendera ya CCM, hakujua kama afya yake ina matatizo? Fomu kajaza majuzi tu hapa, sasa ukiniambia anajitoa kwa sababu ya afya, hapo sielewi.
 
Siwezi shangaa kujitoa,maana ilionekana kabisa kuwa CCM-Bara ndiyo wanamtaka Shein ili hali CCM-Kisiwandui wakiwa hawamtaki hata kusikia,walikuwa wanamuambia wazi kuwa yeye si mwenzao na hata Katiba inasema wazi kuwa Rais wa ZNZ lzm awe na uwezo wa kupiga kura kwenye jimbo lolote kisiwani ZNZ;Shein hakuwa na sifa hiyo!

By the way,iweje hadi leo kwenye zama hizi za demokrasia,kikundi cha watu wa Bara overwhelmingly ndiyo wawachagulie ZNZ mgombea wao?Kumbuka mwaka 2000 Dr Ghalib Bilal alishinda kwa kura nyingi kura za wajumbe wa CCM-ZNZ lkn hawa CCM-Bara ikamchagua Aman Karume na kwa uwingi wao mjengoni wakamfanya ashinde;kama Shein kajitoa ni ishara ya wazi kuwa sasa CCM imeanza kuwasikia wapiga kura wa CCM-ZNZ na ni dhahiri sasa Dr Ghalib Bilal ambaye ni hasimu namba moja wa Rais aondokaye Karume atatangazwa kuwa mgombea wa CCM-ZNZ akiendeleza na kurithi makundi yake yale ya Karume vs Komandoo!

Swali,je ukifanyika uchaguzi wa uhuru na wa haki,Ghalib atamshinda Maalim?

basi ulipoishia wewe kusikia hivyo, mimi nina taarifa kuwa Dr. Shein ndiye atakayepitishwa na CCM taifa kugombea uraisi Visiwani humo kwa tiketi ya chama hicho.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom