Shekhan Rashid:Moja kati ya viungo hodari kutokea Tanzania

Shekhan Rashid:Moja kati ya viungo hodari kutokea Tanzania

py thon

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
2,476
Reaction score
4,448
6b9b624dff60ad5d38aab36940074488.jpg


5320acba2ec20caf20cc811cb62140d6.jpg


Katika wachezaji niliokuwa nawakubali sana Vpl basi alikuwa huyu mido machachari shekhan Rashid

Mido hii ilikuwa inajiamini sana na alikuwa na madoido uwanjani ,pass zake murua nk,hakika alikamilika

Hata alipoenda kumalizia soka lake Azam bado ufundi/ulimbo ulikuwepo mguuni kwake

Bahati mbaya hakuweza kucheza soka ligi kubwa lakini kwa mpira wake alikuwa anastahili kucheza ligi kubwa
 
kuna mpira bongo hata upoteze muda kujadili hapa? acheni utani. kupotezeana muda tu.
 
Asante mkuu sikumgundua hivi ndo huyu walikuwa wanamwita mzee wa "kiminyio"
Hapana kiminyio alikuwa madaraka suleiman mdogo wake aliitwa iddi suleiman "nyigu "au meya wa jiji huyu ni miongoni mwa wachezaji ambao almarhum said mwamba kizota akicheza nao ustaarabu wake ulikuwa wa kiwango cha juu yeye pamoja na fikiri magosso .
 
Hapana kiminyio alikuwa madaraka suleiman mdogo wake aliitwa iddi suleiman "nyigu "au meya wa jiji huyu ni miongoni mwa wachezaji ambao almarhum said mwamba kizota akicheza nao ustaarabu wake ulikuwa wa kiwango cha juu yeye pamoja na fikiri magosso .
Pamoja sana mkuu,asante kwa kunikumbusha!
 
Hizo bukta km walizovaa bado zipo?
 
Huyu jamaa sitasahau mchango wake wakati Simba inawatoa Zamalek kwa bao la Alex
 
Jamaa noma alifunga penalt kwenye dimbwi lamaji. Khaa Simba na ismailia had warbu wakaomba poo..
 
kuna mpira bongo hata upoteze muda kujadili hapa? acheni utani. kupotezeana muda tu.
Hata mimi ndio nashangaa, tena bora comment hii uliippst kabla ya maigizo ya Azzam na Yanga usiku huu.
 
Back
Top Bottom