the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Shekhe Issa alipokuwa akihojiwa na Jambo Tv ameeleza kuwa mwaka 2013 risasi aliyopigwa ilipita nyuma ya beaga na kutokea mbele. Anaeleza hata askari wengine walioshuhudia tukio hilo walishangaa kwanini askari mwenzao alifanya hivyo.