Shem na My sister!!

Shem na My sister!!

Hi waa sio bata trade! mana wamebadilishana dada kwa dada, me sioni tab hapa bwana, we mpe tu dadako ale kama we unavyokula dadake.
Ukiona umeula ujue umeliwa.
 
Hi wana JF?
Ni hivi, kuna lililonikabili hivi sasa mpaka nakosa raha. Nimeoa na nimekuwa nikiishi na shemeji yangu wa kiume pamoja na dada yangu.

Huyu shem kaanza kujitegemea takribani miezi tano sasa ila tatizo langu ni kwamba yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na dada yangu baba moja mama mmoja na huyu shemeji yangu pia nae ni baba mmoja mama mmoja na mke wangu.

Niandikapo hivi ni kwamba hawasikii hawaambiliki na wanadai wanataka kuoana, jamani! hii inakubalika kweli kwenye jamii yetu?

Nimejaribu kuwaelekeza imeshindikana, hebu nishaurini hapa nitumie mbinu gani maana naona kama ni fedheha hivi.

Thanx sana.

usithubutu kuwatenganisha. Acha nature ichukue mkondo wake,ukifanikiwa kuwatenganisha na kila m1 akapata mwenza wake ujue wataendekeza ndani ya ndoa zao.
 
Back
Top Bottom