Shemeji anadai massage

Tafakari mrembo,chukua hatua. Shemeji obviously anataka kupanda mti wake hapo kwako hana lolote huyo,mbona massage parlours zipo kibao town? Tell ur sissy kwamba shem anahitaji hiyo huduma na ungeomba na yeye awepo ili ajifunze ili cku nyingine amfanyie hiyo huduma sweetie wake,period.
 
mwambie aende kazini kwako kuna wengine watamfanyia malaya kiazi huyo,gumegume lililoshindikana na mtume,
 
tatizo ni dada,kendawapi! Sioni tatizo naapewe iwe hiyo sms ama akibip mpigie ! huna dhambi mdada ! Hofu yangu asije enda makaburini kinondoni mkasahauliwa wote wewe dada watoto wenu.
 
Shemeji Shemeji huku Wazima Taa..

Unamnyije mtu kitu ingali ni Chako...
 
Kama na wewe ushakua na kazi yako si uhame hapo ukapange kwako.....majanga mengine mnayataka wenyewe bhana
 
Huyo hana shida ya massage wala nini. kam angekuwa na shida hiyo angeenda sehemu husika kwani siku hizi ziko nyingi sana. Anataka tu kukupitia, watch OUT. tafuta Chumba usepe zako
 
mpe massage shemejiyoo..tena kitu ya fully body[/B]...au unataka aje ofcn kwako ndio ufunge ofc...

Huyo si mteja tuu.

sijui kam angekuwa sista wako ungempa ushauri huu anyway miaka 50 ya uhuru wa kusema na kusikilizwa
 
Hivi mmesoma vizuri:
1. Heading
2. Paragraph ya kwanza ya hiyo topic
3. Mmeziona hizo alama za kufungua na kufunga usemi kwenye paragraph ya pili?

Kabla ya kuchangia, angalieni vizuri hayo mambo matatu halafu muelewe maana yake.
Wote mliochangia hamjaviona hivyo vitu ama hamjaelewa.
 
Madam una kazi kapange toka nyumbani kwa huyo mzinzi.
 
uporoto mpe ushauri mzuri jamani huu ni mtihani! suala la kupanga hata yeye analifahamu, huwezi kumwambia hivo kwani hujui anapatab shiling ngapi, hizi anazokutana nazo ni changamoto za maisha, mi nakupa pole sana na usimwambie dada kabisa kwa kipindi hiki, subiri kwanza, tafuta namna ya kuhandle stuation kama hii, huyo shem wako hajatulia! muheshimu na vaa vizuri unapokuwa home sio umtege make udhaifu upo hata adam alishindwa!
 
Je wewe unavaa suruali inayobana? Je wewe ni mrembo unapenda kujikwatua? Je wewe unaji express vipi mbele ya shemejio? angalia binti Shemeji yako ni binadamu wa jinsia ya kiume aliyekamilika huenda kutokana na jinsi ulivyo unamtia majaribuni. Dada yako amefanya makosa kukuacha nyumba moja na mwanamume huyo. nina hakika kuwa dadako akiwepo hawezi kuthubutu kukuomba masuala hayo. ushauri unaopewa uchukulie serious fanya mipango uhame mara dadako atakaporudi na andaa maelezo kwa nini umehama nyumbani ninahisi unachojitahidi kukifanya yaani kunusuru ndoa ya dadako sio matokea utakayoyapata. dada yako ni mtu mzima atatafuta sababu kwa nini umehama nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…