Shemeji antamani nfanyeje mie???

mambo mengine bana!!ukitamaniwa tu unataka kuvua chupi!!
wangapi wanakutamani? we kama unataka kuliwa au kulana na huyo shemejio,
endelea kwa mpango wako!!
 
I wish Fidel achangie hii mada, bila shaka atatoa ushauri mzuri sana.
 
Sasa anahitaji ushauri gani hapo??anataka aambiwe amkubali??
kwani hawezi kumchomolea:angry:

Yaani hata mi nashangaa hapo! Ina maana yeye hana jibu? Au anatafuta kuhararisha mambo yake? Jibu analo mwenyewe,asitafute watu ubaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…