Rose kwel we unaniambia hivyo
Next time akukaripia mwambie akukome na asizoee kukukaripia..Hakika ataacha hiyo tabia..labda kama una feelings nae utashindwa kumwambia ukweli..tena ameachana na nduguyo futia mbali namba yake, ya nini?
nakutania mwayaaaa:A S-baby:...usinuneee!!!!!!!
Huna lolote! Sitaki.... nata.....Mi wala simuhitaji
Jaman! haya mi nitamwambiaanakuamrisha.....anakukaripia......wewe bado umo tu..........mweleze huipendi tabia yake
usikute ulikuwa unasubiri simba adondoshe kipande cha nyama uokote........... kinachokufanya ushindwe kumweleza ukweli ni nini
lunch time sweeeetiee................
inategemea, sijui nani hapo alikuwa karibu yako zaidi kabla hujaonana na huyo mtu wa pili,
na sijaelewa kama wewe ndo ulimsogeza karibu msichana kwa jamaa au vice versa?
nikijua haya,basi naweza sema neno...........................
wifi mi namaanisha kiukwel mi niko in love
Ningeshangaa