Shemeji mh mh...

Shemeji mh mh...

Next time akukaripia mwambie akukome na asizoee kukukaripia..Hakika ataacha hiyo tabia..labda kama una feelings nae utashindwa kumwambia ukweli..tena ameachana na nduguyo futia mbali namba yake, ya nini?

BJ, wengine kutamka maneno kama hayo,
sijui ..........unikome, unikome nakwambia, huwa hawawezi kabisa,
haya maneno yanahitaji wakati mwingine uwe umeyazoea...................
 
vyovyote anavyokufanyia ni kwa jinsi ulivyo na unavyohusiana nae,badilika atakuelewa tu,unless unampenda au ni partner katika biashara sijaona sababu ya wewe kuwa karibu kiivyo na shemeji yako......!!!
 
mimi sion kama kuna umuhimu wa wewe na yeye kuendelea nae mana kama ameachana na dada yako basi mana kama unaendelea nae na wakat dada yako hana mpango nae basi wewe utakuwa unakitu unachoendelea nae
hamna kitu nitakaambali naye.
 
vyovyote anavyokufanyia ni kwa jinsi ulivyo na unavyohusiana nae,badilika atakuelewa tu,unless unampenda au ni partner katika biashara sijaona sababu ya wewe kuwa karibu kiivyo na shemeji yako......!!!
poa asante
 
anakuamrisha.....anakukaripia......wewe bado umo tu..........mweleze huipendi tabia yake
usikute ulikuwa unasubiri simba adondoshe kipande cha nyama uokote........... kinachokufanya ushindwe kumweleza ukweli ni nini
Jaman! haya mi nitamwambia
 
Kaa nae mbali huyo, maana anajisogeza kwako halafu ukimvulia sketi tu, utaanza kuona vituko kama alivyokuwa anafanyiwa ndu yako,
 
inategemea, sijui nani hapo alikuwa karibu yako zaidi kabla hujaonana na huyo mtu wa pili,
na sijaelewa kama wewe ndo ulimsogeza karibu msichana kwa jamaa au vice versa?

nikijua haya,basi naweza sema neno...........................


Msichana nilimfahamu kabla ukaribu wetu ni last two years... The guy
tupo karibu toka tumefahamisana for three years....
Bacha wewe ni mkaka... need you hapa... nidadafulie..
 
Ningeshangaa


Asantee....bas tusherehekeee kijamaika kdg....:bange:
kaya ntakuptishia badaye...ili ujiweke sawa na shemej,..akikuwakia tu wewe unamwashia mwanzo mwsho heshma ataijua...:israel:ina rang gan
 
Back
Top Bottom