Shemeji mh mh...

chaka vbaya sana...yaan kama vile umeambiwa UMWELEZEE CHE GUEVARA afu wewe ukaanza kumwelezea LOWASSA...


AU umeambiwa elezea SOCIALISM we ukaelezea MICHAEL PORTERS THEORY...

Rose una vituko wewe khaaa...hahahah
 
Asantee....bas tusherehekeee kijamaika kdg....:bange:
kaya ntakuptishia badaye...ili ujiweke sawa na shemej,..akikuwakia tu wewe unamwashia mwanzo mwsho heshma ataijua...:israel:ina rang gan
Ndo manaake
 
Asante
 
Na wewe, si muambie tu kwamba hupendi anavyokukaripia? mtu sio mpenzi wako unaogopa nini kumwambia kwamba hiyo tabia yake haikuvutii, au ushaanza kudevelop felings kwake?
Hapana sna hisia naye ,poa nitamwambia
 
Na wewe, si muambie tu kwamba hupendi anavyokukaripia? mtu sio mpenzi wako unaogopa nini kumwambia kwamba hiyo tabia yake haikuvutii, au ushaanza kudevelop felings kwake?

Yaani nimeona nikugongee Thenks kwa Zis useful comment
 
Mpe za uso.....dawa ya moto si maji ni moto pia...(but inategemea moto wa aina gani)
 
Shemeji shemeji huku wazima taaa!
Watasema yote lakini kumi ni wewe, kumeza au kutema - hata kama kimo mdomoni.
Mi I tell yu wo!
 
Usipokee simu yake na akikuambia uende alipo usiende, akikufokea muulize ankufokea yeye kama nani kwako, then mpe live kuwa hupendi tabia yake full stop
 
Rose una vituko wewe khaaa...hahahah

ahh dunia yenyewe ina vtuko..so inabd twende nayo kivtuko tuko tu ili mradf liende..:caked: no way out!!!!!!!1

niaje ma sisy?
m gud hp u do the same

hallaaaaaaaah beb...kp tyt stay blesed..pakomo bib!!!!!!!!
 
Msichana nilimfahamu kabla ukaribu wetu ni last two years... The guy
tupo karibu toka tumefahamisana for three years....
Bacha wewe ni mkaka... need you hapa... nidadafulie..


ok, kwa ukaribu huu sasa wewe nadhani ndo mwenye jibu!
kama unaona kuwa karibu na huyo kaka ni sawa, kwa kuwa kile anachokihitaji kwako waweza mtimizia basi sioni ubaya,
lah, kama ukaribu huo waweza kusababisha kushindwa kutimiza kile anachokihitaji basi nadhani inabidi ukae mbali nae......................
 
ahh dunia yenyewe ina vtuko..so inabd twende nayo kivtuko tuko tu ili mradf liende..:caked: no way out!!!!!!!1

niaje ma sisy?
m gud hp u do the same

hallaaaaaaaah beb...kp tyt stay blesed..pakomo bib!!!!!!!!

angalia Asha wangu, hao wengine wanaokupeleka kwa lunch hao si watu wazuri bana....................
wengine magumegume tu....................whatch out!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
angalia Asha wangu, hao wengine wanaokupeleka kwa lunch hao si watu wazuri bana....................
wengine magumegume tu....................whatch out!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

we mbona unachanganya madesa apa?
yaaan mkono vtendo kwa rose hisia kwa asha d?
komaaaaaaaaaaaa lione vle:A S cry:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…