Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chaka vbaya sana...yaan kama vile umeambiwa UMWELEZEE CHE GUEVARA afu wewe ukaanza kumwelezea LOWASSA...
AU umeambiwa elezea SOCIALISM we ukaelezea MICHAEL PORTERS THEORY...
AsanteKha? huyu ndugu vipi? eti anakukaripia ukichelewa kupokea simu? Hebu achana nae tena usimpe nafasi kabisa. Na hivi hawana tena uhusiano na huyo ndugu yako, wala usijisumbue, we mheshimu tu kama mtu ambaye umewahi kumfahamu, but dont waste your time kumfikiria! Ikiwezekana mwambie wazi kwamba unakerwa na tabia yake, afate yake aachane na wewe kabisa, maana kama ni uhusiano alikua nao na huyo ndugu yako na si wewe, so aache kuku bother alaaa! Unless kama you have something for him lol!
Na wewe, si muambie tu kwamba hupendi anavyokukaripia? mtu sio mpenzi wako unaogopa nini kumwambia kwamba hiyo tabia yake haikuvutii, au ushaanza kudevelop felings kwake?
Kaa nae mbali huyo, maana anajisogeza kwako halafu ukimvulia sketi tu, utaanza kuona vituko kama alivyokuwa anafanyiwa ndu yako,
Rose una vituko wewe khaaa...hahahah
Msichana nilimfahamu kabla ukaribu wetu ni last two years... The guy
tupo karibu toka tumefahamisana for three years....
Bacha wewe ni mkaka... need you hapa... nidadafulie..
ahh dunia yenyewe ina vtuko..so inabd twende nayo kivtuko tuko tu ili mradf liende..:caked: no way out!!!!!!!1
niaje ma sisy?
m gud hp u do the same
hallaaaaaaaah beb...kp tyt stay blesed..pakomo bib!!!!!!!!
angalia Asha wangu, hao wengine wanaokupeleka kwa lunch hao si watu wazuri bana....................
wengine magumegume tu....................whatch out!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!