Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
KIBOKO YA WACHAWI KUNA UJUMBE WAKO KUTOKA KWA MASHEMEJI ZAKO.
Anaandika Samwel Lwiza "Shemeji
Tumelisikia ombi lako lakini kwa sasa tunaomba utuvumilie kwasababu sisi kama mashemeji zako tumechukia kuzuiliwa kuvimba nyumbani kwetu katika nchi yetu( ukweni kwako) ... Pamoja na hayo huku kwetu katika tamaduni za kibantu ukiisha ozeshwa unatakiwa uende na mke wako kwenu....tutaonana tena shemeji..by the way tutamiss yale majigambo yako...
Na wale viporo wakooo usiwasahau pia shemeji
Anaandika Samwel Lwiza "Shemeji
Tumelisikia ombi lako lakini kwa sasa tunaomba utuvumilie kwasababu sisi kama mashemeji zako tumechukia kuzuiliwa kuvimba nyumbani kwetu katika nchi yetu( ukweni kwako) ... Pamoja na hayo huku kwetu katika tamaduni za kibantu ukiisha ozeshwa unatakiwa uende na mke wako kwenu....tutaonana tena shemeji..by the way tutamiss yale majigambo yako...
Na wale viporo wakooo usiwasahau pia shemeji