Shemeji yangu akiwa na rafiki zake anasema mimba aliyonayo ni ya mwanaume mwingine japo sisi anatuambia ya ndugu yetu

Wanawake ni hatar sana ngojea mtoto azaliwe la sivyo atapigwa wanawake siku zote akiwa na jamaa wawili akapata mimba atambambikia yule mwenye uwezo au anayempenda tambua ilo mimba ya mtu wa ovyo anaweza kuitoa kabisa

Jirani yangu mwanae alipata mimba na alikuwa analiwa na jamaa watatu at once akambambikia jamaa mmoja alikuwa anafanya kazi TRA sema jamaa ni smart akasema tunangoja mpaka mtoto kuzaliwa mtoto kafanana na jamaa anapiga day worker za hiace mtu bangi hata kitanda hana

Na hilo jamaa lilikimbia south africa lilifany uwizi bongo ndo lenye mtoto ila dogo kachukuliwa na bibi ake now Ana miaka Kama 6 babaake anatuma pesa lakini yuko south
 
Daah nikweli mkuu hapo ngoja tu mtoto azaliwe itajulikana B blessed mkuu[emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake mashetani, chakufanya, subirini mtoto azaliwe ukweli utajitenga na uongo.
 
Hawa ni kuishi nao kwa makini sana alafu wanajidai oh wanaume hamutosheki na mbususu moja tafikiria wao wanatosheka na de libolo moja
 
Yaan acha tu mkuu [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona ukiwajulia hupati tabu...wee unakuwa unawala mbususu wao ndio wanaishia kumwaga machozi.
Bro hawa sio wakuonea huruma kabisa...ni kwenda nao kijeshinjeshi.
Bby bby nyingi wakati unampelekea moto, baada ya hapo sura ya ukauzu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…