Shemeji yangu ananilaumu sana kwenda kwake na Mchepuko Wangu

Mchepuko wako anakulengesha kwa wenzie.

Kwa kifupi wewe wamekufanya bwege wao.

Anyways, sijui lakin ila
 
Anatk akufaid ukiwa Peke ako
 
Kila siku habari zako ni mchepuko wangu mchepuko wangu,khaaa
 
Mawazo ajabu Sana mbona Ayo mkuu,Naanzaje kumkula mchumba wa rafiki yangu [emoji848]
Wew ndo unaleta mambo ya ajabu unawezaje kukaaa na mchumba wa rafikiyo faragha akiwa uchi afu humli? Unadhani ukimsimulia rafiki yako yaliyotokea atakuamini? Ukiamua kuwa shetani usiigize umalaika
 
Acha nichangie nami.

Kuna kila dalili huyo anataka aliwe na unalijua hilo ila unaweka heshima mbele. Mama j ni mchepuko tu si mke hakuna madhara ya kama angekuwa mke. Huyu anataka aliwe, piga kimya kimya. Si anataka ukuni mwenyewe?

Kitakachofuata siku za mbele huyu shemeji yako atakuchukia sana au hatakuwa na uchangamfu kwako kama alivyo sasa kwa sababu kakuonyesha mwili wake purposely umle wewe umekwepa.

Nilikuwa na bosi wangu wa kike miaka ya nyuma ila tulikuwa kama familia coz alinitoa mkoa fulani nikafanye kazi katika idara yake huko aliko kwa sababu ya unahiri wangu katika hiyo kazi na weekend tunatoka out kama familia.

Bosi wangu ana dada yake walikuwa wanaishi wote, kumbe alinipenda sana nikawa nafanyiwa vituko vingi sana tena mbele ya mdogo wake ambae ni bosi wangu, sikuliona hilo nikaweka heshima mbele nikaona bosi anaweza niweka pabaya endapo nikimla dada yake, basi alipoona sieleweki alibadilika akawa hanipendi kabisa, outing nikawa siambiwi, bosi nae akaanza kuniwekea mazingira magumu kazini mpaka nikaundiwa soo. Kazi nikaacha.

Badae nikaanza ku -recall ile hali ili nijue nini hasa kilitokea kama niliwakosea au vp, nikashirikisha na baadhi ya jamaa zang. Jibu likawa ni hilo SIKULA MZIGO na ishara zote nilipewa.

So it's up to you, anyway tupe mrejesho kwa siku zijazo chochote kikitokea.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ni shemej yangu kwa rafiki yangu yule,siwez kabisa kutembea nae mkuu
Hakuna Mwanaume anayeweza kuvumilia mitego ya Shemeji kama huyo, labda kama umetunga kama hadithi tu.
 
Hakuna Mwanaume anayeweza kuvumilia mitego ya Shemeji kama huyo, labda kama umetunga kama hadithi tu.
Sina kiu ya ngono kiivyo mkuu,

Nnao wanawake chungu mzima wa kuwalala MDA wowote nnaotaka.

Ukzingatia alivyo pia sio type ya wanawake nilokua na mshawasha nao.

Kikija kigezo Cha jamaa yangu, ndo kabisa hata mihemko inakata kabisa
 
Me nisiwe muongo, demu wa rafiki yangu anitake ivo, naona mwana ataniua akijua ila mie moto nampelekea sio wa nchi hii then namkataa kama simjui na mazoea yanaisha.[emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
siku moja rafiki yangu alikuwa na mwanamke wake, tumeenda sehemu kula mdudu, sasa tumekaa pale jamaa akapigiwa na mwanamke mwingine alikuwaga anampenda sana anakuja kutoka mwanza anamwomba amfuate ubungo, jamaa mida ya saa tano akaenda ubungo ila huku nyuma kaniacha na shemeji kaniomba nimpeleke hotel akapumzike, nimefanya kama nlivyoagizwa dada kapata room safi, nataka kuondoka akasema nikaekae anaogopa pekeake, nikabak bwana kwenye moja na mbili nikajikuta nampelekea moto, nliweka huyu mtoto mpaka basi, na huyu mwanamke alikuwa shangazi wa mwanamke wangu , my friend alimpata kwenye birthday ya mwanamke wangu ambayo mimi ndio nlimpeleka...itoshe kusema huyu mkubwa ana roho ngumu sana
 
Ni shemej yangu kwa rafiki yangu yule,siwez kabisa kutembea nae mkuu
Hakuna Mwanaume anayeweza kuvumilia mitego ya Shemeji kama huyo, labda kama umetunga kama hadithi tu.
Sina kiu ya ngono kiivyo mkuu,

Nnao wanawake chungu mzima wa kuwalala MDA wowote nnaotaka.

Ukzingatia alivyo pia sio type ya wanawake nilokua na mshawasha nao.

Kikija kigezo Cha jamaa yangu, ndo kabisa hata mihemko inakata kabisa
Najaribu tu kuvuta picha kuhusu Shemeji yako, sijui atakuwa wa hovyo kiasi gani mpaka usisimuke, ukizingatia mara nyingi katika kukufanyia hayo mnakuwa mmepata kilevi, sasa huyo rafiki yako kapenda nini kwa Mtu hana mvuto.
 
Hata Mimi nimewanyoosha sana Mashemeji wenye mitego, kuna huyu mmoja eti nipo naye kwake akaanza kunionesha video za ngono, alikipata alichokuwa anakitafuta.
 
Uyo ilikua rahisi maana hata kwenye vigezo vyako alikuepo, uyu hata sio type ya wanaonivutia.

Kwaiyo hata mshipa haustuki kiviile
 
Kila mtu na vigezo vyake mkuu,
Wee wako Unaweza muona mzur, kwa mwingine akawa wa kawaida.

Iko hivyo, kila mtu na vipaumbele vyake mkuu
 
Aisee,
Kumbe wanawake Wana visirani hivi[emoji848]
 
Wew ndo unaleta mambo ya ajabu unawezaje kukaaa na mchumba wa rafikiyo faragha akiwa uchi afu humli? Unadhani ukimsimulia rafiki yako yaliyotokea atakuamini? Ukiamua kuwa shetani usiigize umalaika
Jamaa nikimwambia Hawez niamin Tena, anaweza just namuigizia nishamla mtu wake.
 
Kila mtu na vigezo vyake mkuu,
Wee wako Unaweza muona mzur, kwa mwingine akawa wa kawaida.

Iko hivyo, kila mtu na vipaumbele vyake mkuu
Ni kweli Kuna vigezo na vipaumbele katika hilo, lakini hiyo yako ni kama dharula, mara nyingi kwenye mitego kama hiyo tamaa ndiyo hutangulia kuliko utashi, ndiyo maana kuna wakati Watu kama hao hunyooshwa alafu Mtu anaingia mitini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…