Habari za weekend waheshimiwa? Ni hivi nina shemeji yangu (mdogo wa kiume)kwa my wife wangu ambaye c rizki watu wanamuhemea mgongoni/gay ambaye anataka kuja kunitembelea ckukuu ya pasaka,binafsi kichwa knauma. je? Gay huyu alale chumba cha mtoto wangu wa kike au wa kiume.
Wa kiume miaka 9 wa kike 6 shoga ana 20yrs...washawasha? kwani wanao wa kiume wana umri gani,
na huyo uncle wao ana umri gani?
Wa kiume miaka 9 wa kike 6 shoga ana 20yrs
Ndugu yake analazimisha aje, amuone eti amemiss sana
Sawa bibie,atacheza na baraza
chumba kimoja alale binti na mama yake, chumba cha pili lilale shoga , wewe na kijana wako, ila wewe itabidi ulale katikati baina ya shoga na kijana ili just in case shoga likianza upopobawa wake likurukie wewe na kijana asalimike , aje kutetea katiba mpya bungeni.
naitwa klorokwini.
Ndugu yake analazimisha aje, amuone eti amemiss sana
...Mw'mungu atulinde tu na ibilisi huyu,
jana uingereza kumeshuhudiwa kituko hiki;
Hundreds of gay protesters snog outside pub after a couple were kicked out for kissing - mirror.co.uk
...mwanandugu akiwa ndio 'anaugua' ugonjwa huu sijui utamtenga kivipi tu yarabi!
kwa usalama zaidi, amlaze na mtoto wa kike,
kwani wakiwa pamoja huko anajiona kama binti,
mwisho wa siku hakuna kitakachotokea!
Mr umeoa au umeolewa??????
Huyu nitampeleka guest au nikam Ban asije kabisa...dah, pole sana bro. Huyo wa kiume yumo kwenye umri wa 'kukua'
uwe makini. Kumradhi kwa haya ninayokwambia, lakini ininaonyesha mkeo hayupo serious
...angalia historia isije jirudia 'wakakuharibia' watoto! ...hiyo tabia 'inarithiwa.'
Sawa mkuu nitachekecha pumba na mchele,namsubiri ajeKuna vitu viwili hapa tunapaswa kuviangalia:
1. Mashoga ni binadamu kama binadamu wengine; kuwa kwao mashoga hakuwafanyi wakose hisia na sifa nyengine za kibinadamu.
2. Shemeji yako, ni mjomba wa damu wa watoto wako, ni watoto wake pia; na kama ilivyo kwenye namba moja juu, huyu akiwa kama mjomba na mwenye hisia za kibinadamu, hawezi kuwaharibu watoto wake. Tuchukuwe mfano mwengine; ikiwa mtu ni shoga na ameoa na kupata watoto (wapo wengi waliooa), jee huwaharibu watoto wake?
Lakini kama bado una wasiwasi, basi mwache mama alale na watoto wake, na wewe ulale na huyo "shoga", angalau usiku mmoja tu. Akijaribu kukumendea asubuhi mkaribishe aondoke nyumbani.
Nilikuwa gizani kwa kweli ila michango ya wadau imenisaidia sana,namsubiri ajeKama vp mlaze stoo huyo punga,
Utatuambia hata stoo huna!
Angalia hii mambo bhana,utakuharibia watoto.