Shemeji yangu gay, alale na nani?

zuia asije home, ukimkaribisha umeleta balaa nyumbani kwako maana mwanao wa kiume akimkubali tu huyo uncle wake yaani wakielewana hata kwa mazungumzo tu ujue balaa limeanza, mwanao atapewa kitchen party tayari kwa kuliwa
 
ukali huu nahisi mgeni mwenyewe ndio huyu:A S 465:
 
duh si mchezo..... ni vizuri akalala mwenyewe... kama haiwezekani basi mlaze na wa kike, kwani atamfanya nini... wakikubaliana basi poa.. pengine akaipenda ile kitu zaidi ukawa umembadilisha aurudie uanaume... ushauri wa haraka mlaze na binti ammpe mambo... ukimweka kwa waki-ume asije akamgeuza yeye si unajua mliwa naye hula....
 
aisee ninavyowajua mashoga ni washawishi sana.ukimlaza na huyu wa kiume tu,lazima ahakikishe jamaa anamgonga.bora umuweke na huyo wa kike.tena utakuwa umemsaidia.
 
inakuwaje kwanza shemej yako awe shoga imekuwaje amuone dada yako awe shoga?
 

Washawasha,

Hivi ulijuaje kuwa shemeji yako ni gay?
 
Mlaze nje mwaya asikuharibie watoto

simple solution...usiruhusu akaja kuwatembelea, mwambie ukweli kuwa kutokana na tabia yake ya u-gay, hupendi aje nyumbani isije ikaleta madhara ya kiakili na kisaikolojia sikwa watoto, wewe mwenyewe bali hata kwa majirani na watu mnaoheshimiana nao. Imagine rafiki zako wakijua pasaka hii mnakula meza moja na shoga? hapo kwako watakuja?
 

Ushauri mzuri sana huu, asikanyage kabisa hapo kwako kama una uhakika ni gay. Tena umwambie kabisa sababu ya wewe kukataa kuja kwako ni hiyo tabia yake usimfiche
 
Ushauri mzuri sana huu, asikanyage kabisa hapo kwako kama una uhakika ni gay. Tena umwambie kabisa sababu ya wewe kukataa kuja kwako ni hiyo tabia yake usimfiche

jamani huu si unyanyapaa?
 
Nafikiri kabla ya kuuliza alale vipi....tatueni tatizo lake kwa kumpeleka hospital na kwenye maombi. Kwa hapa JF wasiliana na P.DIDY huwa anaombea watu wa aina hiyo
 


amina baba anipm nimpeelekee akayaondoe mtumishi ila akumbuke sadaka ya uponyaji baibo iko wazi alaaniwe apokeae bure...ndio maana hata babu si kwamba ana shida na 500 no angetoa bure angekuwa kinyume na maneno ya mungu akakimbia hiyo laana ya bure
 
lala nae
huyo sio mtoto tena lazima alale chumba cha wakubwa yani chenu unless kama una vyumba vya watu wazima..??

Soma bandiko langu hapo juu kwanza baba mchungaji
 
jamani huu si unyanyapaa?

Sio unyanyapaa mkuu....
Kukataa uwepo wa tabia fulani nyumbani kwako ni haki yako......
Unaweza kukataa ujio wa mlevi au mwenye tabia yoyote usiyoitaka nyumbani kwako.......
 
Nafikiri kabla ya kuuliza alale vipi....tatueni tatizo lake kwa kumpeleka hospital na kwenye maombi. Kwa hapa JF wasiliana na P.DIDY huwa anaombea watu wa aina hiyo

nguli huyu sio wa kuombewa kwanza anatakiwa aangaliwe wafanye maping ya ukoo wao yawezekana kuna babu ama bibi alikuwa lesbian so ni lazima uvunje laana ya nyuma kwanza unaweza ombea huyu aakaaacha mwanae huyu jamaa akawa bwabwa tukawa tunacheza so awe muwazi kwanza kuna mtu kama huyu kwenye vizazi vyao vya nyuma..maana ajue yule mke ana damu moja na huyu bwabwa ..so unaweza ona bwabwa wakakua wako ikahamia ukajiuliza ni wapi tatizo ....ani pm nimwonyeshe vipengele vya kujitoa na huu uchafu ...
 

Ha ha ha ha nimecheka sana kwa hio kumbe haya matatizo yanarithiwa from generation to the next. Inabidi ufunge 40 days like Jesus kwa break through
 
jamani huu si unyanyapaa?

Unyanyapaa? kumkaribisha mtu wa hivyo ni sawa na kumruhusu mlevi akanya kwenye sahani yako ya pilau.
The first reaction is the correct one. Ningekuwa mimi, hata wazo la kuja kwangu asingekuwa nalo, maana nimgeshamwambia msimamo wangu.
 
Mwambie unampenda,lakini familia yako unaipenda zaidi-ASIJE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…