Shemeji yangu gay, alale na nani?

Ok,nitampa kitaa
 

Kama una zizi la punda, mbuzi , kuku au mbwa mlaze huko iwapo una uhakika anafanya ushenzi huo.
 

matty utampata tu Mungu ni mwema na fadhili zake ni za milele asemi uongo
thanks much nilikuwa natafuta jibu la hiyo nimefurahishwa sana na msimamo wako ndio maana nikakuimbia wimbi wa jf ingawa sijaruhusiwa
binafsi na familia yangu naomba nikupe one nty pale kisiriri lodge karibu na tandale ukae na mwenzio mpaka jumapili...tunaitaj wazazi wa misimamo kama nyie ...kuna maswali nauliza kwa nia njema tuko pamoja kiroho
 
Kama una zizi la punda, mbuzi , kuku au mbwa mlaze huko iwapo una uhakika anafanya ushenzi huo.

wewe paul shemeji atakuwaje na uhakika ama unataka kuvunja ndoa za watu dada akisikia hili swali sidhan kama kutakalika ..weeeee kwa wachaga ule mbuzi na mayai yake akiajf watakumaliza ukutane na wamachame ashendede noshaa
 
Hakuna hata stoo mzee hapo maskani umtupie huko na kagodoro kake....akiuliza mbona hivi bwana shemeji unamwambie ujinga wake ndio umepelekea wewe kumuweka huko. Usiruhusu alale na watoto wako awe wa kiume au wakike wana mambo ya kijinga sana hao watu..:hat:
 
Jamani maandiko matakatifu yapotufundisha kuwa mwanaume ni kichwa cha nyumba haimaanishi kuwa ni kutumia tu maubabe, bali ni kuwa na hekima na msimamo wenye faida kwa familia katika maamuzi mbalimbali. Mimi sioni sababu ya kumwa na unafiki kama hilo suala linajulikana kwa pande zote mbili kuwa huyo mtu ni shoga, i mean mkeo anajua na family yote upande wa kwao wanajua, hapo ni wewe kuonyesha tu msimamo kuwa hukubaliani na tabia hiyo chafu aliyonayo shemejio kwa kutomkubalia kukutembelea nyumbani kwako mpaka hapo atakapoacha hiyo tabia chafu.

Na huo msimamo wako ujulikane kwa pande zote mbili bila kuwa na kigugumizi wala chengachenga, hapo utakuwa umesaidia family upande wa ukweni na pia umejiepusha na hatari yoyote kwako mwenyewe na kwa family yako pia. Sidhani kama wakwe watakyfikiria vibaya au kukulaumu kama kweli na wao wanachukizwa na hiyo tabia ya kijana wao. Ila kama hakuna ushahidi wa kutosha ila ni tetesi tu hakuna mwenye uhakika, basi haina maana wala haja ya kumzuia kuja au kumtenga kwa namna yoyote, isipokuwa apewe heshima yake kama watu wengine.
 
Naona itakuwa busara sana alale sebuleni,ila inabidi uwe naye sana makini
kwa kipindi atakachokuwa hapo kwako kwani hawo watu wa hivyo sio riziki asije akakuharibia watoto.
 
Mlaze sebuleni kwa nini watoto uwachanganye na watu wazima? siku hizi dunia imeharibika kama huna chumba cha wageni alale kwenye kochi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…