Shemeji yetu naye, mahaba hadi kwenye TV!

Shemeji yetu naye, mahaba hadi kwenye TV!

Maboso

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
5,164
Reaction score
5,762
15.jpg


Zari the BOSS Lady akichezea kidevu cha Diamond wakati akihojiwa na Clouds TV pamoja na Clouds FM mapema leo asubuhi
 
Kama kweli Zary anaweza kuwa mkweli dai ni wa ngp kumla???
 
Achana nae bwana huyo atakua anamaanisha wanawake walio after money.Haya ndio mawazo ya wanaume wengi,kwajinsi nilivyo siwezi kua na mwanaume wa dizaini hiyo kabisaaa.
Mambo gani ya kua na mashaka!

Kumbe ndo manake eeh nimekupata vilivo na mapenzi ya mashaka ka swala porini kumuogopa simba au chui hayafai kabisa.
 
Acha hizo, wewe huyo mwanamke uliyenaye ni wangapi kumla?
Watu wanaangalia real love tu.Hata kama akiwa wa 100 tatizo ni moyo wake unasemaje?

Huyu ni type ya wale akiwa na mpenzi mpya anamuuliza kuhusu past relations badala ya Ku focus na new relation wengi wanaishia true love matters most than past.
 
Acha hizo, wewe huyo mwanamke uliyenaye ni wangapi kumla?
Watu wanaangalia real love tu.Hata kama akiwa wa 100 tatizo ni moyo wake unasemaje?

Ckujua kama swali linajibiwa kwavkeri kias hiki lkn ww ni wangu hebu niambie ulikuwa umeliwa na wangp??? acha jazba na ww jb niko kwenye semina ya wavulana na wa baba huku kijitonyama ucpaniki
 
Niu niuee mahaba niuee!kwenye joto nipepeee ,
Ukichoka jilaze kifuani,vumilia mabaybeee
tupatacho kidogo ahueniiii

woooo woo woo woooo!hiki kisiki cha mpingo cha mpingoooo!
wooo woo woo acha mwenzenu nicheke japo nina pengooo@maboso
 
Kumbe ndo manake eeh nimekupata vilivo na mapenzi ya mashaka ka swala porini kumuogopa simba au chui hayafai kabisa.

Hayafai kabisa shoga angu.Mambo ya kutokuaminiana inahusu? Utashangaa unampenda mwanaume kweli lakini haeleweki kumbe akili zao ndio hizi.
 
Huyu ni type ya wale akiwa na mpenzi mpya anamuuliza kuhusu past relations badala ya Ku focus na new relation wengi wanaishia true love matters most than past.

Hapo sasa, na asipokuuliza wewe basi ataenda kuuliza huko akisikia umbea kua umewahi hata kutoka na wawili kwisha habari yako.
Jaribu kuulizia yeye sasa? Utachoka!
 
Ckujua kama swali linajibiwa kwavkeri kias hiki lkn ww ni wangu hebu niambie ulikuwa umeliwa na wangp??? acha jazba na ww jb niko kwenye semina ya wavulana na wa baba huku kijitonyama ucpaniki

Jibu swali kama swali wewe kijana utatolewa tezi dume wengine wake za watu na waume zetu wapo hukuhuku,ohoooo!
 
Daaa Diamond ametulia kweli ....
 
Back
Top Bottom