LGE2024 Shemsa Mohamed: Chagueni CCM tusonge mbele

LGE2024 Shemsa Mohamed: Chagueni CCM tusonge mbele

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Political Jurist

Senior Member
Joined
Sep 6, 2021
Posts
143
Reaction score
120
♻️ CHAGUENI CCM TUSONGE MBELE KWA MAENDELEO - SHEMSA MOHAMED.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapindizi (CCM) Mkoa wa Simiyu Ndg. Shemsa Mohamed Seif ameendelea na ziara yake ya Siku Saba za Moto na tarehe 25 Novemba, 2024 alipiga kambi katika Jimbo la Kisesa kupiga kampeni za kuhamasisha wananchi kuwapigia kura wagombea wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji 2024.

"Ndugu zangu, nawaomba chagueni chama chetu chenye sifa na viongozi bora kote Tanzania. Tumeshuhudia maendeleo makubwa chini ya uongozi wa Rais wetu Dkt.Samia Suluhu Hassan, ambaye ameonesha njia ya maendeleo ya kweli ".Ndg.shemsa.

Aidha Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu aliendelea kwa kusema ;-
"Sababu za kuchagua Chama Cha Mapinduzi tunazo, maana maendeleo yanayoshushwa hapa chini hatujawahi kuona , miradi inapishana kila siku, na maendeleo ya kweli yanashuhudiwa kila kona ".
"Chagueni CCM, tusonge mbele kwa maendeleo endelevu".

"Nimeona umeme umesambaa zaidi hadi kijiji cha huku mwishoni, lakini umeme upo, maendeleo yapo na yanaendelea kuwepo. Chagueni CCM, kwani ni Chama chenye sifa za wagombea wa kweli na tumefanya maendeleo makubwa".

"Hivyo, uchaguzi huu ni muhimu ili kuendeleza miradi hii ya maendeleo na kuhakikisha ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa vizazi vijavyo ".

"Tunaomba kura zenu ili tuendelee kuleta maendeleo ya kweli chini ya uongozi wa CCM ". Ndg.Shemsa Mohamed, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu.

Imetolewa na:
Idara ya Siasa na Uenezi Mkoa wa Simiyu.

IMG-20241125-WA1196.jpg
IMG-20241125-WA1197.jpg
IMG-20241125-WA1197.jpg
IMG-20241125-WA1199.jpg
IMG-20241125-WA1198.jpg
 
♻️ CHAGUENI CCM TUSONGE MBELE KWA MAENDELEO - SHEMSA MOHAMED .

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapindizi( CCM) Mkoa wa Simiyu Ndg.Shemsa Mohamed Seif ameendelea na ziara yake ya Siku Saba za Moto na tarehe 25 Novemba,2024 alipiga kambi katika Jimbo la Kisesa kupiga kampeni za kuhamasisha wananchi kuwapigia kura wagombea wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji 2024.

"Ndugu zangu, nawaomba chagueni chama chetu chenye sifa na viongozi bora kote Tanzania. Tumeshuhudia maendeleo makubwa chini ya uongozi wa Rais wetu Dkt.Samia Suluhu Hassan, ambaye ameonesha njia ya maendeleo ya kweli ".Ndg.shemsa.

Aidha Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu aliendelea kwa kusema ;-
"Sababu za kuchagua Chama Cha Mapinduzi tunazo, maana maendeleo yanayoshushwa hapa chini hatujawahi kuona , miradi inapishana kila siku, na maendeleo ya kweli yanashuhudiwa kila kona ".
"Chagueni CCM, tusonge mbele kwa maendeleo endelevu".

"Nimeona umeme umesambaa zaidi hadi kijiji cha huku mwishoni, lakini umeme upo, maendeleo yapo na yanaendelea kuwepo. Chagueni CCM, kwani ni Chama chenye sifa za wagombea wa kweli na tumefanya maendeleo makubwa".

"Hivyo, uchaguzi huu ni muhimu ili kuendeleza miradi hii ya maendeleo na kuhakikisha ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa vizazi vijavyo ".

"Tunaomba kura zenu ili tuendelee kuleta maendeleo ya kweli chini ya uongozi wa CCM ". Ndg.Shemsa Mohamed
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu .


Imetolewa na:
Idara ya Siasa na Uenezi Mkoa wa Simiyu.
Miaka waliyokaa madarakani kuna kipi kipya watakuleta safari hii ?
 
♻️ CHAGUENI CCM TUSONGE MBELE KWA MAENDELEO - SHEMSA MOHAMED.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapindizi (CCM) Mkoa wa Simiyu Ndg. Shemsa Mohamed Seif ameendelea na ziara yake ya Siku Saba za Moto na tarehe 25 Novemba, 2024 alipiga kambi katika Jimbo la Kisesa kupiga kampeni za kuhamasisha wananchi kuwapigia kura wagombea wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji 2024.

"Ndugu zangu, nawaomba chagueni chama chetu chenye sifa na viongozi bora kote Tanzania. Tumeshuhudia maendeleo makubwa chini ya uongozi wa Rais wetu Dkt.Samia Suluhu Hassan, ambaye ameonesha njia ya maendeleo ya kweli ".Ndg.shemsa.

Aidha Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu aliendelea kwa kusema ;-
"Sababu za kuchagua Chama Cha Mapinduzi tunazo, maana maendeleo yanayoshushwa hapa chini hatujawahi kuona , miradi inapishana kila siku, na maendeleo ya kweli yanashuhudiwa kila kona ".
"Chagueni CCM, tusonge mbele kwa maendeleo endelevu".

"Nimeona umeme umesambaa zaidi hadi kijiji cha huku mwishoni, lakini umeme upo, maendeleo yapo na yanaendelea kuwepo. Chagueni CCM, kwani ni Chama chenye sifa za wagombea wa kweli na tumefanya maendeleo makubwa".

"Hivyo, uchaguzi huu ni muhimu ili kuendeleza miradi hii ya maendeleo na kuhakikisha ustawi wa kiuchumi na kijamii kwa vizazi vijavyo ".

"Tunaomba kura zenu ili tuendelee kuleta maendeleo ya kweli chini ya uongozi wa CCM ". Ndg.Shemsa Mohamed, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu.

Imetolewa na:
Idara ya Siasa na Uenezi Mkoa wa Simiyu.

View attachment 3161831View attachment 3161832View attachment 3161832View attachment 3161833View attachment 3161834
na huo pekee ndio uamuzi wa Hekima na Busara,

hiyo ndiyo akili, na huo ndiyo uzalendo 🐒
 
Back
Top Bottom