Shenazi Khamis Bweni Napapenda ChitChat,nipokeeni.

Nimemtumia messege mtambuzi kuwa nitakuwezo white parti kaniambia nilipe.
Nauliza eti nani nimpe hhyo hela na sh ngapi?
Ni huyu manoah aliyenikaribisha au Donn
 
Last edited by a moderator:
Jamani mchango nampat nani wa white parti?
Nimeambiwa nimpe nani.
 
karibu sana Shenazi. mimi nakupenda. vipi utajumuika white party?. je wajua kumention? kama hujui fanya hivi;
anza na @ ikifuatiwa na id ya mtu bila kuacha nafasi ili itokee hivi figganigga. yaani unaandika @ID. Hapo mtu anapata taarifa kama umemtaja. tupendane. mia
 
Last edited by a moderator:
Asante @ figga nigga ila manoah alishanielekeza jinsi ya kufanya.
Asante @figga nigga.
 
Last edited by a moderator:
Asante Baba v.
manoah kanielekeza kila kitu.nampenda sama.
 
Last edited by a moderator:
Yaani; hivi humu Chit Chat mnajuana au?
Maana hadi raha.
Namimi naomba nikaribie.
Naitwa Shenazi Khamis Bweni.

karibu bibie...mimi ni mume na baba wa mabinti wanne na kijana mmoja aliyepo masomoni ughaibuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…