Misahafu inasema mwana mpotevu aliporudi kwa babaye, mwana mwema aliyekuwa kabakia Kwa babaye alichukia mno. Kwamba kwanini baba yao amfanyie sherehe mwovu huyo hali yeye alikuwa pale siku zote asifanyiwe dhifa yoyote?
"Kwa hasira kali alisusa sherehe ya nduguye, akaondoka nyumbani na kutokomea kusikojulikana na asirudi tena, milele."
Karudi Slaa. Hoja zake tunaziona. Tunawaona kina Mwabukusi na wa namna hIyo, wakiongea lugha za watu tulizokuwa tumezikosa mno.
"Kulikoni Chadema uchwara kuungana na ma CCM kuudhika au hata kudhamiria kuwakwamisha au kutaka kuufisha mwamko huu mpya?"
Kwamba machadema uchwara hayo yameuvaa u CCM kuicheza ngoma hIyo kwa uzuri zaidi?
Kwamba hii sasa ni kwa niaba ya ma CCM, siyo?
"Kwa hakika patakuwa pana sherehe kubwa sana pale Lumumba!"
"Kwa hasira kali alisusa sherehe ya nduguye, akaondoka nyumbani na kutokomea kusikojulikana na asirudi tena, milele."
Karudi Slaa. Hoja zake tunaziona. Tunawaona kina Mwabukusi na wa namna hIyo, wakiongea lugha za watu tulizokuwa tumezikosa mno.
"Kulikoni Chadema uchwara kuungana na ma CCM kuudhika au hata kudhamiria kuwakwamisha au kutaka kuufisha mwamko huu mpya?"
Kwamba machadema uchwara hayo yameuvaa u CCM kuicheza ngoma hIyo kwa uzuri zaidi?
Kwamba hii sasa ni kwa niaba ya ma CCM, siyo?
"Kwa hakika patakuwa pana sherehe kubwa sana pale Lumumba!"