Sherehe ya 40 ya Mtoto wa Zamaradi Mketema

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]. Tuendelee kumshukuru Melo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mwenzangu acha tu!

[emoji3][emoji16][emoji23][emoji2]nimeona kaniambia Mimi mwenyewe hapa nilipewa suspension mpk Novemba 3 hapa huruma za melo! Si unajua melo mzungu wa rohoo!!![emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mimi sipendelei kabisa kufuatilia "story" za hawa wasanii wetu wa Kibongo bongo..hasa hasa kwa mambo ya kipuuzi mengi wanayoyafanya siku hizi na yasiyo ya msingi kabisa ...lakini leo kwa bahati mbaya kwenye "group" moja ambalo mimi ni mwanachama imetumwa video ikimuonyesha mrembo na Miss Tanzania wa zamani Jokate Mwegero akitambulishwa kwenye shughuli tajwa kama Mama wa taifa..ukiitazama hiyo "clip" utaona kwanza alivyochanganyikiwa akbisa baada ya kuitwa hilo jina na kisha ya kumnyoshea kidole MC cha wewe nikomee mie !! lakini ilikuwa "too late" kwani ukumbi woote ulizizima kwa kelele ya kana kwamba kweli hilo jina la "Mama wa Taifa" lina maana fulani tusiyoijua sisi wengine...swali la kujiuliza je kwa nini anaitwa Mama wa TAIFA??...
 
Mange kimambi anajua kila kitu kipo wazi kule
 
[hhuQUOTE="Mzigua90, post: 27718776, member: 248688"]Nashangaa kweli sherehe ya kiimani kuwa ya kidunia. Sema kapigia mahesabu hela hapo mkuu maana anajua mastaa wanapenda sifa watashindana kumtunza wakati yeye anarudisha gharama zake[/QUOTE]huyo chausiku kapiga kushida chake wala hana habaree
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…