Bas wee ulikuwa unaumwa lawalawa wamasai wanatahiri kichwa CYO mboo ili kutahiriwa inakupasa kujielewa wee Ni Nani
18, na kuendelea. Lakini Kama mzazi ataridhia mtoto atatahiriwa chini ya hapo lakini isiwe chini ya miaka 11 kwa sababu zoezi ni gumu na Hatari kwa uhaiNi vijana kuanzia miaka mingapi hadi mingapi wanaruhusiwa kutahiriwa mkuu?
NipoHivi humu jf wapo
Sesekwan[emoji23][emoji1545]Tafadhali mzitoe hbr zote uku endorip imbiyaani
AndamanaHawa watu sijawaigi wakubali mambo yao hasa uvaaji na kutoboa toboa masikio ovyo..
wewe lazima ni arbarnoriBinafsi nilipelekwa jando nikiwa darasa la nne nikiwa na miaka kama kumi hivi, kwa hiyo hakuna umri maalam isipokuwa mtoto mdogo
Unatuelewa..?!Nimependa mnavyoongea kimasai hapa!!! Safi sana
Unatuelewa..?!
Well,,Yap but sio sana kiasi... Nilisoma shule ipo umaisaini na nina marafiki wengi mawasai so naelewa kidogo
Takwenya ngoto yeyoNipo
Mimi ni wa kiume. Hiyo salaam hainihusuTakwenya ngoto yeyo
Sorry mkuu, nimeona hilo jina huwa wanatumia jinsia KEMimi ni wa kiume. Hiyo salaam hainihusu