Tetesi: Sherehe za kupokea matokeo ya sensa zimetumika Billion 6

Tetesi: Sherehe za kupokea matokeo ya sensa zimetumika Billion 6

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.

Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.

Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.

Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.

Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
 
Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.

Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.

Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.

Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.

Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
Duuh🙄
Wacha shamba la bibi liliwe sana hadi akili za Wadanganyika zikae sawa!!
 
Na tujiulize hili tuu!

Unasheherekea Matokeo ya Sensa kwa lipi hasa?

Mimi nilidhani,baada ya kuyapokea,badala ya sherehe,wangeingia Site kujua hao watanzania milioni 61 wanaishije kwa sasa?

Wangapi wanayo furaha kama hao tuliowaona hapo kwenye jukwaa?

Huyu Mama wa kiswahili anatuongoza kiswahili swahili!

Kila siku "Minuso"

Nchi ya watu milioni moja,inaongoza nchi ingine ya milioni 60 population!

Aheri turudi TANGANYIKA ili tunyukane vizuri.
 
Uongo ni 480 Milion,
Pamoja na udhaifu wa serikali zetu ila ukweli Usemwe ulivyo ! Mi ni napinga sana kutangaza matokeo Kwa namna ile wangeitwa hata waandishi wakaambiwa pale Ikulu , tukasevu 480Milion
 
Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.

Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.

Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.

Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.

Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
Kwa huyu bi tozo inaonesha sensa ulikuwa mtihani mkubwa sana kwake, kafaulu sasa kaamua kufanya sherehe. Huu ni Sijui tuuiteje sisi wadanganyika.
 
Uongo ni 480 Milion,
Pamoja na udhaifu wa serikali zetu ila ukweli Usemwe ulivyo ! Mi ni napinga sana kutangaza matokeo Kwa namna ile wangeitwa hata waandishi wakaambiwa pale Ikulu , tukasevu 480Milion
Kamishna wa sensa yupo, angeitisha press conference akatangaza matokeo. Sasa ajabu rais anafanya sherehe.
 
Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.

Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.

Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.

Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.

Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
Utamaduni wa shughuli katuachia mwendazake, tushakuwa kama wazalamo kila uchao shuuli.
 
Utamaduni wa shughuli katuachia mwendazake, tushakuwa kama wazalamo kila uchao shuuli.
Acha upumbavu wewe!

Mwenda zake alikuwa mtu na nusu, ndie alisitisha hadi mbio za mwenge, sherehe mbalimbali zifutwa ili pesa zielekezwe kwenye mambo muhimu!

Mambo kama haya wanayo watu aina ya jk na genge lililoko madarkani sasa hivi.

Nitajie sherehe 2 tu alizofanya mwenda zake
 
Serikali ya CCM bado ina sikio la kufa kuhusu kubana matumizi, hii nchi kusonga mbele labda itokee muujiza - Taifa lina miaka 61 tangu uhuru unashindwa kuwa na maji ya huhakika hata kwa jiji na Dar es salaam.
 
Acha upumbavu wewe!

Mwenda zake alikuwa mtu na nusu, ndie alisitisha hadi mbio za mwenge, sherehe mbalimbali zifutwa ili pesa zielekezwe kwenye mambo muhimu!

Mambo kama haya wanayo watu aina ya jk na genge lililoko madarkani sasa hivi.

Nitajie sherehe 2 tu alizofanya mwenda zake
Mwendazake alikuwa akiagiza ndege moja anaita viongozi wa nchi nzima, wa dini, wa serikali hadi majeshi ya ulinzi na usalama as if ndege moja ndiyo perfonamce ya nchi., Ile report ya makininika kaita viongozi wote lakini leo imekuwa proved rubish. hadi imezaa trap na na na na na na na na na na na na na Trat.
 
Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.

Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.

Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.

Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.

Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
siku hizi sherehe zimekuwa nying kama wazaramo
 
Back
Top Bottom