Tetesi: Sherehe za kupokea matokeo ya sensa zimetumika Billion 6

Tetesi: Sherehe za kupokea matokeo ya sensa zimetumika Billion 6

Uongo ni 480 Milion,
Pamoja na udhaifu wa serikali zetu ila ukweli Usemwe ulivyo ! Mi ni napinga sana kutangaza matokeo Kwa namna ile wangeitwa hata waandishi wakaambiwa pale Ikulu , tukasevu 480Milion
Hahaaa hizo mbona ni za kulipa wasanii pekee, kwanza haitoshi, elewa B 6 zimeteketea pale
 
Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.

Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.

Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.

Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.

Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
Unashangaa nini Kwa wamama kupenda sherehe? Hakuna jipya ila jipya ni hiyo gharama ukitonywa.
 
Mwendazake alikuwa akiagiza ndege moja anaita viongozi wa nchi nzima as if ndege moja ndiyo perfonamce ya nchi., Ile report ya makininika kaita viongozi wote lakini leo imekuwa proved rubish. hadi imezaa trap na na na na na na na na na Trat.
Sasa lile lilikua jambo la kiuchumi na aliwaita wachache.

Kw hiyo unaunga mkono hoja au sio.!
 
Kama ni kweli basi inasikitisha wakati serikali inasema haina Ela na kuingia kwenye akauntibza watu kuweka tozo, Kuna watu ambao kazi Yao ni kutafuta matumizi
 
We bil 6, unaijua wewe.?

Nadhani hiyo ni pesa iliyotumika kwenye zoezi zima la Sensa. Sio sherehe ya jana tuu.

Ila bado serikali ina matumizi mabaya.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.

Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.

Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.

Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.

Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
Wenda pia imezidi, wewe kusafirisha watu nchi nzima na mav8 yao unafikili mchezo, alafu mtu aseme eti ccm itakua Madarakani 2025, nawambia itapigwa Kama ngoma,

Tunasema kipindi Cha jk kulikua na ubadhilifu ila nawambieni hakuna kipindi Taifa linapitia katika ubadhilifu wa kutisha elekea 2025, ipo siku mtakuja kushangaa
 
unaweza jikuta unatukana lakini itoshe tu kusema tunaongozwa na malamba asali
 
Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.

Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.

Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.

Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.

Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
Kwa hiyo kumbe sio ile milion 480 tuliyoiona nyingi sana?
JamiiForums1513516052.jpg
 
Na tujiulize hili tuu!

Unasheherekea Matokeo ya Sensa kwa lipi hasa?

Mimi nilidhani,baada ya kuyapokea,badala ya sherehe,wangeingia Site kujua hao watanzania milioni 61 wanaishije kwa sasa?

Wangapi wanayo furaha kama hao tuliowaona hapo kwenye jukwaa?

Huyu Mama wa kiswahili anatuongoza kiswahili swahili!

Kila siku "Minuso"

Nchi ya watu milioni moja,inaongoza nchi ingine ya milioni 60 population!

Aheri turudi TANGANYIKA ili tunyukane vizuri.
Huwezi kutegemea Mswahili akawa VISIONARY hata KIDOGO. Sana sana tegemea uswahili uswahili tu
 
Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.

Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.

Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.

Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.

Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
Madalali yatakula wapi? Tatizo madalali yamejaa humo.
 
Kamishna wa sensa yupo, angeitisha press conference akatangaza matokeo. Sasa ajabu rais anafanya sherehe.
Umeona eeh, ni sawasawa na Chebukati akae pembeni, Uhuru ndo atangaze matokeo.........bongo ujuha ni mwingi sana.
 
Uongo ni 480 Milion,
Pamoja na udhaifu wa serikali zetu ila ukweli Usemwe ulivyo ! Mi ni napinga sana kutangaza matokeo Kwa namna ile wangeitwa hata waandishi wakaambiwa pale Ikulu , tukasevu 480Milion
Wewe mlamba asali acha kutuzuga.
 

Attachments

  • JamiiForums1856819424.gif
    JamiiForums1856819424.gif
    700.5 KB · Views: 2
Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.

Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.

Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.

Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.

Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
Unafahamu billion 6 au unaota!
 
Back
Top Bottom