Hahaaa hizo mbona ni za kulipa wasanii pekee, kwanza haitoshi, elewa B 6 zimeteketea paleUongo ni 480 Milion,
Pamoja na udhaifu wa serikali zetu ila ukweli Usemwe ulivyo ! Mi ni napinga sana kutangaza matokeo Kwa namna ile wangeitwa hata waandishi wakaambiwa pale Ikulu , tukasevu 480Milion
Unashangaa nini Kwa wamama kupenda sherehe? Hakuna jipya ila jipya ni hiyo gharama ukitonywa.Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.
Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.
Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.
Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.
Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
Sasa lile lilikua jambo la kiuchumi na aliwaita wachache.Mwendazake alikuwa akiagiza ndege moja anaita viongozi wa nchi nzima as if ndege moja ndiyo perfonamce ya nchi., Ile report ya makininika kaita viongozi wote lakini leo imekuwa proved rubish. hadi imezaa trap na na na na na na na na na Trat.
Wenda pia imezidi, wewe kusafirisha watu nchi nzima na mav8 yao unafikili mchezo, alafu mtu aseme eti ccm itakua Madarakani 2025, nawambia itapigwa Kama ngoma,Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.
Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.
Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.
Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.
Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
kinachotuponza sisi watanzania ni kushabikia mambo hata yale ya hovyo as long as napata mkate wangu mimi na familia yangu who cares about the rest. Hii kitu itaendelea kututafuna mno. (uchawa kind of)
Kwa hiyo kumbe sio ile milion 480 tuliyoiona nyingi sana?Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.
Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.
Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.
Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.
Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
Huwezi kutegemea Mswahili akawa VISIONARY hata KIDOGO. Sana sana tegemea uswahili uswahili tuNa tujiulize hili tuu!
Unasheherekea Matokeo ya Sensa kwa lipi hasa?
Mimi nilidhani,baada ya kuyapokea,badala ya sherehe,wangeingia Site kujua hao watanzania milioni 61 wanaishije kwa sasa?
Wangapi wanayo furaha kama hao tuliowaona hapo kwenye jukwaa?
Huyu Mama wa kiswahili anatuongoza kiswahili swahili!
Kila siku "Minuso"
Nchi ya watu milioni moja,inaongoza nchi ingine ya milioni 60 population!
Aheri turudi TANGANYIKA ili tunyukane vizuri.
Kabisa,na hizo ni za WatanganyikaPesa za watangayika milioni 60 zinatumika vibaya.
Ile ni mision ya wajanja kupiga pesa,Ile chopa iliyorusha matokeo lazima ilitumia wese la kufa mtu.
Madalali yatakula wapi? Tatizo madalali yamejaa humo.Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.
Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.
Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.
Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.
Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
Umeona eeh, ni sawasawa na Chebukati akae pembeni, Uhuru ndo atangaze matokeo.........bongo ujuha ni mwingi sana.Kamishna wa sensa yupo, angeitisha press conference akatangaza matokeo. Sasa ajabu rais anafanya sherehe.
Wewe mlamba asali acha kutuzuga.Uongo ni 480 Milion,
Pamoja na udhaifu wa serikali zetu ila ukweli Usemwe ulivyo ! Mi ni napinga sana kutangaza matokeo Kwa namna ile wangeitwa hata waandishi wakaambiwa pale Ikulu , tukasevu 480Milion
Unafahamu billion 6 au unaota!Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.
Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.
Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.
Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.
Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?