..Mkuu najaribu kupekua pekua nijue price range ya huu mtambo....Nadhani muungwana nae amekuja na style mpya ya usafiri anaotaka kutumia......Bado kuna shule Kigoma wanafunzi wanakaa sakafuni hakuna madawati wao wanatukoga tu na migari yao.....Mkuu, shukrani sana. Errors nimejitahidi kurekebisha accordingly.
Kaondoka na gari lake jipya? Naona State House wamebadili wanatumia X5 cars siku hizi. Linafanana hivi?
Huu ni udaku! hakuna chembe ya ushahidi wa kisayansi.
Mzee Mwanakiji,
Hapo ni ushahidi wa kisyansi au research? Maana ushahidi wa kisayansi utaupata vipi kwenye hilo?
..Mkuu najaribu kupekua pekua nijue price range ya huu mtambo....Nadhani muungwana nae amekuja na style mpya ya usafiri anaotaka kutumia......Bado kuna shule Kigoma wanafunzi wanakaa sakafuni hakuna madawati wao wanatukoga tu na migari yao.....
Ushahidi wa kisayansi unafuata kanuni za kisayansi:
a. Unapima watu wanaoshiriki katika kukimbiza mwenge kabla hawajashiriki mbio hizo kujua hali zao za HIV
b. Unawalinganisha na kundi jingine ambalo linakuwa ni control group
c. unafuatilia kundi hilo la wanaoshiriki mbio za mwenge na lile lisiloshiriki mbio za mwenge
d. Unapima baada ya muda fulani kuona ni lipi limeambukizwa zaidi au la
e. Unarudia majaribio hayo hadi uwe na sample ya kutosha kuweza kusema kuwa angalau kuna uhusiano (correlation) kati ya kukimbiza mwenge na kuongezeka maambuziko ya HIV kwenye kundi fulani kulinganisha na control group.
that is how you would do it in a nutshell..
Mkuu Mkjj, huko vijijini mwenge ukilala watu ndo wanapata nafasi ya kuambukizana, wanaoambukiza si wale wakimbiza mwenge, ni wanavijiji wenyewe kwa wenyewe wakitumia mkesha wa mwenge as an excuse
Na jukwaa lilikuwa hivi:
Hivi hizi mbio za mwenge ni za CCM tu au ni za kitaifa?
Maana hapa naona chama kinaonyesha kwamba mbio hizi ni za chama fulani tu, na wanachama fulani hawana haki yakuwepo!
Au serikali ikichukuliwa na wapinzani basi mbio za mwenge ndio zitakua tamati?
..Mkuu najaribu kupekua pekua nijue price range ya huu mtambo....Nadhani muungwana nae amekuja na style mpya ya usafiri anaotaka kutumia......Bado kuna shule Kigoma wanafunzi wanakaa sakafuni hakuna madawati wao wanatukoga tu na migari yao.....
http://pichaz.jamiiforums.com/out.php/i40_DSC05878.JPG
Hivi hizi mbio za mwenge ni za CCM tu au ni za kitaifa?
Maana hapa naona chama kinaonyesha kwamba mbio hizi ni za chama fulani tu, na wanachama fulani hawana haki yakuwepo!
Au serikali ikichukuliwa na wapinzani basi mbio za mwenge ndio zitakua tamati?
Mkuu Darwin,
CCM ndio Chama Tawala
Baadhi ya Vyama maarufu vya upinzani vinasema "Tukiingia madarakani tutafuta mbio za mwenge"
Mtikila mwenyewe miaka ya '90 alisema akipata madaraka atautupa mwenge baharini.
Asante.