Sherehe za miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara(Tanganyika): Babu Seya na Wafungwa wengine 8,157 Wasamehewa

Sherehe za miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara(Tanganyika): Babu Seya na Wafungwa wengine 8,157 Wasamehewa

Kuwa MWANACHAMA wa ccm Lazima uwe na moyo mgumu[/QUO
Ili tatizo huko upande wa pili ni full vidonda vya tumbo. Tena wengine watoto wadogo tu. Mtu akiamka tu, yupo kwenye mitandao anatafuta Magu kasema nini akomae nae. Tena hapo yuko kwa Shemeji mkaza dada. Vyuma vimekaza kuanzia kwa steringi shemeji mwenyewe memba wetu wa Jf anayetunzwa. Shiida!
 
Mambo mengine ni ya kipumbavu tu huwa najiulizaga swali wale watoto waliolawitiwa wako wap
 
Ndiyo maana ni ngumu kuhubiri uzalendo.Maana ukichanganya tu na uvyama basi tena maana ya sherehe Za kitaifa zinapoteza maana yake Na watu kuanza kuziona kama sherehe Za kichama tu.
Hizi ni sherehe za CCM sio kitaifa.
 
Sherehe za "uhuru" upi wakati kila siku watu "wanapotea" na kuokotwa wakiwa kwenye viroba baharini? Kabla ya "kuadhimisha" hizo sherehe zenu hebu kwanza mrudisheni mwandishi wa habari mliyemteka kule Kibiti.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Kwa kweli kati ya mambo yanayokera sana ni hili la wafuasi wa chama tawala kuvaa sare za chama chao katika shughuli mbalimbali za kitaifa amabazo kimsingi si za kiitikadi kwa kisingizio cha kuwa wao ndio chama dola hakika si sawa kwani suala la wao kuwa chama dola linfahamika na linapokuja suala la kitaifa umoja usio na itikadi ni jambo la msingi zaidi kuliko kuleta viashiria vya kichama.
Inakera sana kuwaona hawa mbuzi wanavaa miguo yao ya chama kwenye sherehe za kitaifa!

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na matatizo yaliyopo bt Mungu ni mwema tumefika 56 years of our independence, may God bless this lovely country of mine

Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom