ZINDAGI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 1,118
- 1,430
Naandika haya nikiwa napita jirani kabisa na uwanja wa Uhuru (Uwanja wa Taifa), naona vikosi vya ulinzi na usalama vikijtaarisha kuanza mazoezi ya gwaride na mambo mengine, vijana wa halaiki nao hawajaachwa nyuma, naona kundi kubwa linaingia.
Ama kwa hakika kwa maataarisho haya, tutegemee shamra shamra na harakati kubwa siku ikifika, twende kwenye hoja sasa!
Nategemea katika kilele cha sherehe hizi, tarehe 9 Dec, 2021 tutapokea wageni wengi sana, wahadhi mbali mbali kutonga ndani ya nchi na nje ya nchi, kinachonisikitisha sasa, hadi naandika uzi huu bado siku 6 tuu na hakuna mataarisho yoyote ya miundo mbinu ya kuingia na kutokea.
Barabara za kuinglia na kutokea hapo uwanjani zipo ktk hali mbaya sana, swali langu je hii sherehe hamkujua kama itafanyika nyumbani kwenu?
Je, nini lifanyike ktk siku hizi zilizobaki ili kuweza kurekebisha hizo barabara?
"Naiona aibu mbele yangu"
Ama kwa hakika kwa maataarisho haya, tutegemee shamra shamra na harakati kubwa siku ikifika, twende kwenye hoja sasa!
Nategemea katika kilele cha sherehe hizi, tarehe 9 Dec, 2021 tutapokea wageni wengi sana, wahadhi mbali mbali kutonga ndani ya nchi na nje ya nchi, kinachonisikitisha sasa, hadi naandika uzi huu bado siku 6 tuu na hakuna mataarisho yoyote ya miundo mbinu ya kuingia na kutokea.
Barabara za kuinglia na kutokea hapo uwanjani zipo ktk hali mbaya sana, swali langu je hii sherehe hamkujua kama itafanyika nyumbani kwenu?
Je, nini lifanyike ktk siku hizi zilizobaki ili kuweza kurekebisha hizo barabara?
"Naiona aibu mbele yangu"