marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
1} Uwanja
÷ Urefu mita 100-120
Upana mita 50-60
Mduara wa katikani nusu kipenyo 9.15
2} Mpira
Huwa na kipenyo cha Sm 68 -70
Uzito wa grm 410-450
Ujazo 1.1-1.6
3} Idadi ya Wachezaji
11 kwa kila team
Sub 7
Wanaotakiw kwa sub 3
4} Vifaa vya Michezo
5} Mwamuzi
6} Waamuzi wasaidizo
7} Muda
Mpira huchezwa kwa dk 90 yani 45 /45
Muda wamapumziko usizidi dk 15 na isipungue dk 10..
Kama zitatokea dk 30 za nyiongeza mapumziko yasizid dk 5
8} kuanzwa na kuanzishwa tena mchozo
9} Mpira kuwa nje na ndani ya uwanja
10} Namna yakufunga goli
11} Kuotea - nikitendo cha mchezaji kupokea mpira akiwa anewazidi wachezaji wote wa team pinzani ndani yaeneo la team pinzani
Mchezaji anaweza asitafsiriwe kama ameotea ikiwa amezidi lakini hatajihusisha na mpira uliokuwa eneo lakuotea
Mchezaji hatakuwa ameotea ikiwa walinzi watakuwa wanamkia na hawatojihusisha na mpira
Mchezaji hata tafsiriwa ameotea ikiwa mwenye mpira ataupiga goli la team pinzani na mpira ukagonga nguzo mchezaji alioko eneo lakuotea akafunga itakuwa sio goli lakuotea
Kutakuwa hakuna dhana yakuotea ikiwa kipa amemepangua mpira na ukamkuta mchezaji aliokuwa ameotea akafunga
12} Makosa yautovu wanidham
Mchezaji atakaeonyeshwa kadi nyekundu ya moja kwa moja atakosa match 3
Mchezaji akionyeshwa kadi 2 za njano na moja nyekundu atakosa mchezo 1
Mchezaji akionyeshwa kadi 5 ndani ya ligi 1 atakosa mchezo 1
Kadi 10 atakosa michezo 2
Kadi 15 atakosa michezo 3
Inayofuata na hataruhusiwa kuchagua michezo
Ikiwa mchezaji atafikisha kadi 20 za njano basi kamat ya maadili yaligi husika itakaa nakuamua adhabu
*13}* Pigo huru.
Wakati mpira unapigwa wachezaji hutakiwa kukaa mita zisizopungua 9.15 au hatua 10 kutok mpira ulipo
14} Penati
Mpiga penati hutakiwa kupiga penati moja kwa moja au kumtengea mchezaji mwenzake aliokuwa nje ya box la penati *{mf Lionel messi na Suarez msimi wa 2015/16}*
Mpiga penati ataruhusiwa kuucheza mpira uliopanguliwa na kipa
Lakini hataruhusiwa kuucheza mpira uliogonga mlingoti nakurudi uwanjani
15} Mpira wa kurushwa
16} Pigo la Goli
17} Pigo la Kona
Mchezaji anaweza kupiga moja kwa moja au kuanza kwakupasia
÷ Urefu mita 100-120
Upana mita 50-60
Mduara wa katikani nusu kipenyo 9.15
2} Mpira
Huwa na kipenyo cha Sm 68 -70
Uzito wa grm 410-450
Ujazo 1.1-1.6
3} Idadi ya Wachezaji
11 kwa kila team
Sub 7
Wanaotakiw kwa sub 3
4} Vifaa vya Michezo
5} Mwamuzi
6} Waamuzi wasaidizo
7} Muda
Mpira huchezwa kwa dk 90 yani 45 /45
Muda wamapumziko usizidi dk 15 na isipungue dk 10..
Kama zitatokea dk 30 za nyiongeza mapumziko yasizid dk 5
8} kuanzwa na kuanzishwa tena mchozo
9} Mpira kuwa nje na ndani ya uwanja
10} Namna yakufunga goli
11} Kuotea - nikitendo cha mchezaji kupokea mpira akiwa anewazidi wachezaji wote wa team pinzani ndani yaeneo la team pinzani
Mchezaji anaweza asitafsiriwe kama ameotea ikiwa amezidi lakini hatajihusisha na mpira uliokuwa eneo lakuotea
Mchezaji hatakuwa ameotea ikiwa walinzi watakuwa wanamkia na hawatojihusisha na mpira
Mchezaji hata tafsiriwa ameotea ikiwa mwenye mpira ataupiga goli la team pinzani na mpira ukagonga nguzo mchezaji alioko eneo lakuotea akafunga itakuwa sio goli lakuotea
Kutakuwa hakuna dhana yakuotea ikiwa kipa amemepangua mpira na ukamkuta mchezaji aliokuwa ameotea akafunga
12} Makosa yautovu wanidham
Mchezaji atakaeonyeshwa kadi nyekundu ya moja kwa moja atakosa match 3
Mchezaji akionyeshwa kadi 2 za njano na moja nyekundu atakosa mchezo 1
Mchezaji akionyeshwa kadi 5 ndani ya ligi 1 atakosa mchezo 1
Kadi 10 atakosa michezo 2
Kadi 15 atakosa michezo 3
Inayofuata na hataruhusiwa kuchagua michezo
Ikiwa mchezaji atafikisha kadi 20 za njano basi kamat ya maadili yaligi husika itakaa nakuamua adhabu
*13}* Pigo huru.
Wakati mpira unapigwa wachezaji hutakiwa kukaa mita zisizopungua 9.15 au hatua 10 kutok mpira ulipo
14} Penati
Mpiga penati hutakiwa kupiga penati moja kwa moja au kumtengea mchezaji mwenzake aliokuwa nje ya box la penati *{mf Lionel messi na Suarez msimi wa 2015/16}*
Mpiga penati ataruhusiwa kuucheza mpira uliopanguliwa na kipa
Lakini hataruhusiwa kuucheza mpira uliogonga mlingoti nakurudi uwanjani
15} Mpira wa kurushwa
16} Pigo la Goli
17} Pigo la Kona
Mchezaji anaweza kupiga moja kwa moja au kuanza kwakupasia