Jamani naomba kuuliza,mdogo wangu amezaa na Mwanamke mmoja ambaye hawakuona nae na sasa mtoto ana miaka minane!
Lakini cha ajabu huyu mtoto anavyozidi kuwa na umri mkubwa huyu dada ndo anavyozidi kuwa m_bishi kumruhusu mtoto kuja hata kumsalimia baba yake.
Mtoto anahudumiwa kila kitu ikiwa pamoja na kulipiwa over 1m school fees sasa mama hataki hata baba aangalie madaftari ya mtoto.
Nimemshauri aende kwa wana sheria je kuna ushauri wowote zaidi ya huo niliompa?
Lakini cha ajabu huyu mtoto anavyozidi kuwa na umri mkubwa huyu dada ndo anavyozidi kuwa m_bishi kumruhusu mtoto kuja hata kumsalimia baba yake.
Mtoto anahudumiwa kila kitu ikiwa pamoja na kulipiwa over 1m school fees sasa mama hataki hata baba aangalie madaftari ya mtoto.
Nimemshauri aende kwa wana sheria je kuna ushauri wowote zaidi ya huo niliompa?