ITNOJE unamaanisha nini unaposema wamama wakiwa nazo fujo tupu?,, WASIPOKUWA NAZO MNAWAITA TEGEMEZI WAKIJITEGEMEA PIA TATIZO mmh!! binadamu kweli hatuna jema.
Mama kuwa nazo si tatizo, tatizo la huyo mama ni uzembe alionao ktk kulea mtoto wake. ndiyo maana wanasema SIYO KILA MZAZI NI MLEZI,
UZAZI NA ULEZI NI VITU VIWILI TOFAUTI,,,ULEZI UNAHITAJI KUJITOA KWA KILA HALI , na ndilo tatizo la huyo mama unayemwita mwenye nazo hana muda wa karibu na mwanaye, mama makin hawezi kuruhusu mwanaye aende shule mchafu.
Huyu mwanaume ajaribu kuwaona wanasheria ili mtoto aweze kupata suluhisho la tatizo lake ili mtoto apate malezi bora na nadhani BABA ana malezi bora lakin je huyo baba kama kaoa huyo mwanamke mwingine je huyo mwanamke yupo tayari kuishi na mtoto wa nje ya ndoa??? huyu baba yawezekana anamalezi bora kwa mtoto wake lakin bado tatizo likawa kwa mke kama hayupo tayari kulea bado huyo mtoto atapata shida. Afanye juu chini wapate suluhisho la malezi bora ya mtoto wao ili awe na maisha bora , siyo bora maisha...na maisha bora ni yale yenye ELIMU BORA, SIYO BORA ELIMU.