Mim ni mwl wa shule ya sec,nliomba ruhus kwa mkuu wang kwa njia ya cm kwan shule ilkuwa imefngwa
Kwa kuanzia, serikali haifanyi kazi kwa njia ya simu, bali njia hiyo inaweza kutumika kutoa tuu taarifa ya awali, lakini taarifa yoyote rasmi, hufanywa kwa maandishi!.
Hata wakati shule imefungwa, ofisi ya shule ya kupokea barua yako ya ombi la ruhusa huwa iko wazi!.
Mfanyakazi yoyote wa umma, atapopata tatizo, anatoa taarifa rasmi kuomba ruhusa, akiishakubaliwa ndipo huondoka na sio kutangulia kuondoka ndipo anatuma taarifa kwa simu!.
Ulipoajiriwa naamini ulipewa barua unayokueleza kila kitu, ila kwa waalimu wapya, "absconding" ni tatizo sugu, hivyo mwalimu anapokuwa hajaonekana for lets say 7 days na hakuna taarifa yoyote rasmi, Mkuu wa shule yuko righ kukuhesabu ume abscond, hivyo sasa ni jukumu lako to prove your case kuwa sio abscondment case, utasikilizwa na utarejeshwa kazini!.
Kwa ushauri tuu, don't go into legal battle unless umeamua huitaki tena kazi hiyo ya ualimu, its time consuming, wastage of time and you'll end up getting nothing hata kimahakama ukishinda na kutakiwa kufidiwa!.
Japo haki ni jambo la msingi kabisa, lakini haki hiyo unayoitafuta iwe na maana kwako unless wewe ni wale wako tayari kuuza ng'ombe kwa kesi ya kuku!
Pasco