Sheria inasemaje kuhusu NDOA hivi kuna kuachana jamani?

Sheria inasemaje kuhusu NDOA hivi kuna kuachana jamani?

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,753
Reaction score
9,575
Habari mafriendy zangu

Mwenzenu bado niko gizani kuhusu jambo hili la sheria ya wanandoa, hiv kuna kifungu kinachosema kunakuachana kabisa na kutalakiana, na vipi kuhusu vitu mlivyochuma wote inakuwaje hapo?

Sisemi haya kwamba yamenpata la hasha nataka kujua uwazi zaidi kwani kwenye maandiko matakatifu
yamesema hakuna kuachana mpaka kifo kitokee kwa mmojawapo wa wanandoa? sasa hiyo talaka imekujaje?
na je kwanini kizazi cha sasa wanashindwa kuvumiliana kama wazazi wetu (mababu + mabibi) wanavyokaa
mwisho wa uzee wao? Kuna nini nyuma ya pazia kinachoendelea juu ya vijana wetu wa kisasa?
Au ndo ulimbukeni wa mapenzi? ulimbukeni wa maisha ya ndoa? hebu nijuzeni hapa marafiki.
Nionesheni vifungu vya sheria vinavyosema kuachana au kutalakiana kwa wanandoa

siku njema

cc: Mamndenyi, Mtambuzi, Paloma, watu8, Mentor, Bakulutu, Arushaone, Erickb52, Mr Rocky, Madame B, Heaven on earth, Passion Lady, Lady doctor, charminglady, Nicas Mtei, kiwatengu, YNNAH, cacico, Smile, Bujibuji, Asprin, Kipaji Halisi, Jiwe Linaloishi, jouneGwalu, Gwamahala, Bishanga, evenly salt, gfsonwin, Preta, Filipo, Mwita Maranya, mwaJ, marejesho, Ndetchia, The secretary, amu na marafiki wengine ambao kwa namna moja nimewasahau majina yao toeni ushauri hapa.
 
Last edited by a moderator:
ladyfurahia pitia hapa
http://www.mmh-mms.com/downloads/4talakadivorce.pdf
Habari mafriendy zangu

Mwenzenu bado niko gizani kuhusu jambo hili la sheria ya wanandoa, hiv kuna kifungu kinachosema kunakuachana kabisa na kutalakiana, na vipi kuhusu vitu mlivyochuma wote inakuwaje hapo?

Sisemi haya kwamba yamenpata la hasha nataka kujua uwazi zaidi kwani kwenye maandiko matakatifu
yamesema hakuna kuachana mpaka kifo kitokee kwa mmojawapo wa wanandoa? sasa hiyo talaka imekujaje?
na je kwanini kizazi cha sasa wanashindwa kuvumiliana kama wazazi wetu (mababu + mabibi) wanavyokaa
mwisho wa uzee wao? Kuna nini nyuma ya pazia kinachoendelea juu ya vijana wetu wa kisasa?
Au ndo ulimbukeni wa mapenzi? ulimbukeni wa maisha ya ndoa? hebu nijuzeni hapa marafiki.
Nionesheni vifungu vya sheria vinavyosema kuachana au kutalakiana kwa wanandoa

siku njema

cc: Mamndenyi, Mtambuzi, Paloma, watu8, Mentor, Bakulutu, Arushaone, Erickb52, Mr Rocky, Madame B, Heaven on earth, Passion Lady, Lady doctor, charminglady, Nicas Mtei, kiwatengu, YNNAH, cacico, Smile, Bujibuji, Asprin, Kipaji Halisi, Jiwe Linaloishi, jouneGwalu, Gwamahala, Bishanga, evenly salt, gfsonwin, Preta, Filipo, Mwita Maranya, mwaJ, marejesho, Ndetchia, The secretary, amu na marafiki wengine ambao kwa namna moja nimewasahau majina yao toeni ushauri hapa.
 
Last edited by a moderator:
Maudhi katika ndoa yanaweza kuwa mazito sana na
ndipo mlalamikaji mume au mke anapokwenda
mahakamani kudai amri ya kuvunja ndoa kabisa
ambayo inaitwa amri ya talaka.
Sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inasema ya kuwa
mashauri ya kudai talaka ambavo lazima yatolewe
na mahakama yanapaswa kwanza kupitia kwenye
baraza Ia usuluhishi. Mabaraza ya usuluhishi yapo
mengi na yameundwa kwa shughuli hiyo kwenye
vijiji na mijini. Jukumu Ia mabaraza hayo ni
kuwasuluhisha mlalamikaji na mlalamikiwa ili
waweze kusameheana. Baraza hilo linaposhindwa
kusuluhisha, hawana budi kutoa shahada kwa
mume na mke wanaohusika. Shahada
hiyo itamwezesha mlalamikaji kufungua
madai ya talaka kwenye mahakama. Bila
shahada hiyo madai hayawezi kupokele-
wa mahakamani. Sababu zinazoweza kuf-
anya ndoa ivunjike.
(a) Maasi au utoro wa makusudi
usiopungua miaka mitatu.
(b) Mlalamikiwa kufungwa jela kwa
muda wa miaka mitano mfululizo au
maisha.
(c) Kutengana kwa hiari au kwa amri ya
mahakama kusikopungua miaka
mitatu.
(d) Ukatili wa mwili au akili kwa watoto
wa ndoa au kwa mlalamikaji.
(e) Kichaa kinachothibishwa na
madaktari wawili kwamba hakiponi.
(f) Mlalamikaji kubadili dini ikiwa wote
walikuwa na dini moja wakati wa
kuoana.
Kwa mujibu wa dini hiyo kubadili dini
kunavunja ndoa au kunakuwa na sababu
za kuvunja ndoa
 
Kama unazungumzia Sheria za JMT, yes Kesi za Madai huweza kufungulia na hukumu ya kuachana kutolewa....

Unapokuja kwenye suala la Sheria za JMT, msaafu pekee unaotizamwa ni Katiba ya JMT na Sheria za Ndoa kama zilivyotungwa na kupitishwa...
 
nashukuru umenifungua macho hapa be blessed
Maudhi katika ndoa yanaweza kuwa mazito sana na
ndipo mlalamikaji mume au mke anapokwenda
mahakamani kudai amri ya kuvunja ndoa kabisa
ambayo inaitwa amri ya talaka.
Sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inasema ya kuwa
mashauri ya kudai talaka ambavo lazima yatolewe
na mahakama yanapaswa kwanza kupitia kwenye
baraza Ia usuluhishi. Mabaraza ya usuluhishi yapo
mengi na yameundwa kwa shughuli hiyo kwenye
vijiji na mijini. Jukumu Ia mabaraza hayo ni
kuwasuluhisha mlalamikaji na mlalamikiwa ili
waweze kusameheana. Baraza hilo linaposhindwa
kusuluhisha, hawana budi kutoa shahada kwa
mume na mke wanaohusika. Shahada
hiyo itamwezesha mlalamikaji kufungua
madai ya talaka kwenye mahakama. Bila
shahada hiyo madai hayawezi kupokele-
wa mahakamani. Sababu zinazoweza kuf-
anya ndoa ivunjike.
(a) Maasi au utoro wa makusudi
usiopungua miaka mitatu.
(b) Mlalamikiwa kufungwa jela kwa
muda wa miaka mitano mfululizo au
maisha.
(c) Kutengana kwa hiari au kwa amri ya
mahakama kusikopungua miaka
mitatu.
(d) Ukatili wa mwili au akili kwa watoto
wa ndoa au kwa mlalamikaji.
(e) Kichaa kinachothibishwa na
madaktari wawili kwamba hakiponi.
(f) Mlalamikaji kubadili dini ikiwa wote
walikuwa na dini moja wakati wa
kuoana.
Kwa mujibu wa dini hiyo kubadili dini
kunavunja ndoa au kunakuwa na sababu
za kuvunja ndoa
 
samahani JMT ni nini? pls nipe kirefu cha hicho?
Kama unazungumzia Sheria za JMT, yes Kesi za Madai huweza kufungulia na hukumu ya kuachana kutolewa....

Unapokuja kwenye suala la Sheria za JMT, msaafu pekee unaotizamwa ni Katiba ya JMT na Sheria za Ndoa kama zilivyotungwa na kupitishwa...
 
[TABLE="width: 655"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 80, bgcolor: transparent"]Mathayo[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]19[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]9[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]Mathayo[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]19[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]10[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Wanafunzi wake wakamwambia, Mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo, haifai kuoa. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]Mathayo[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]19[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]11[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Lakini yeye akawaambia, Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale waliojaliwa. [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 655"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 80, bgcolor: transparent"]1 Wakorintho[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]7[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]8[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]1 Wakorintho[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]7[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]9[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]1 Wakorintho[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]7[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]10[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe; [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]1 Wakorintho[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]7[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]11[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]lakini, ikiwa ameachana naye, na akae asiolewe, au apatane na mumewe; tena mume asimwache mkewe. [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 636"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 54, bgcolor: transparent"]Malaki[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]2[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]14[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu Bwana amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]Malaki[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]2[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]15[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Hakuna mtu mmoja aliyetenda hivi, ambaye alikuwa na ufahamu kidogo. Au je! Kuna mtu mmoja atafutaye mzao mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana. [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]Malaki[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]2[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]16[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Maana mimi nakuchukia kuachana, asema Bwana, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema Bwana wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana. [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Inategemea imeunganishwa na nani maana imeandikwa alichokiunganisha Mungu, Binadamu hawezi kukitenganisha. Maandiko yanasema pia "Mwanamke hataachwa ila kwa zinaa" ingawa hayajasema chochote kuhusu wanaume ila kaa ukijua kwamba

Ukifumaniwa tu, Unaachwa!
 
Unategemea watu wakae kwenye ndoa japo hawana furaha kwa sababu tu wazazi wa zamani walikuwa wanakaa humo?
 
[TABLE="width: 655"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 80, bgcolor: transparent"]Mathayo
[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]19
[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]9
[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]Mathayo
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]19
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]10
[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Wanafunzi wake wakamwambia, Mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo, haifai kuoa.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]Mathayo
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]19
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]11
[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Lakini yeye akawaambia, Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale waliojaliwa.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 655"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 80, bgcolor: transparent"]1 Wakorintho
[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]7
[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]8
[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]1 Wakorintho
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]7
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]9
[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]1 Wakorintho
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]7
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]10
[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]1 Wakorintho
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]7
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]11
[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]lakini, ikiwa ameachana naye, na akae asiolewe, au apatane na mumewe; tena mume asimwache mkewe.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 636"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 54, bgcolor: transparent"]Malaki
[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]2
[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]14
[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu Bwana amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]Malaki
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]2
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]15
[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Hakuna mtu mmoja aliyetenda hivi, ambaye alikuwa na ufahamu kidogo. Au je! Kuna mtu mmoja atafutaye mzao mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]Malaki
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]2
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]16
[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Maana mimi nakuchukia kuachana, asema Bwana, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema Bwana wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Hii thread nillikuwa sijaielewa mpaka nilipofika hapa..
 
umenikumbusha kitu kwenye Neno la Mungu yaani nimefurahi sana kwa maneno matamu yameubariki moyo wangu, kumbe Mungu anachukia kuachana jamani?
[TABLE="width: 655"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 80, bgcolor: transparent"]Mathayo[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]19[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]9[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]Mathayo[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]19[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]10[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Wanafunzi wake wakamwambia, Mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo, haifai kuoa.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]Mathayo[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]19[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]11[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Lakini yeye akawaambia, Si wote wawezao kulipokea neno hili, ila wale waliojaliwa.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 655"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 80, bgcolor: transparent"]1 Wakorintho[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]7[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]8[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]1 Wakorintho[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]7[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]9[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]1 Wakorintho[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]7[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]10[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]1 Wakorintho[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]7[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]11[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]lakini, ikiwa ameachana naye, na akae asiolewe, au apatane na mumewe; tena mume asimwache mkewe.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 636"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 54, bgcolor: transparent"]Malaki[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]2[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]14[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu Bwana amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]Malaki[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]2[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]15[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Hakuna mtu mmoja aliyetenda hivi, ambaye alikuwa na ufahamu kidogo. Au je! Kuna mtu mmoja atafutaye mzao mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]Malaki[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]2[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]16[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Maana mimi nakuchukia kuachana, asema Bwana, Mungu wa Israeli; naye aifunikizaye nguo yake kwa udhalimu namchukia, asema Bwana wa majeshi; basi jihadharini roho zenu, msije mkatenda kwa hiana.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
acha hadithi zako za kizamani soma 1wakorintho 7:1 mlango wote ndipo utaelewa somo hapo juu
Inategemea imeunganishwa na nani maana imeandikwa alichokiunganisha Mungu, Binadamu hawezi kukitenganisha. Maandiko yanasema pia "Mwanamke hataachwa ila kwa zinaa" ingawa hayajasema chochote kuhusu wanaume ila kaa ukijua kwamba

Ukifumaniwa tu, Unaachwa!
 
hee! kupigiliwa misumari? inaamana kuachana hakupo hata ikitokea mitafaruku na migongano ya mawazo kati yenu? hebu fafanua vizuri best
Hakuna kuachana mpaka kifo kitokee kwani mmepigiliwa misumari?

Ujinga wa wapi huo?
 
hee! kupigiliwa misumari? inaamana kuachana hakupo hata ikitokea mitafaruku na migongano ya mawazo kati yenu? hebu fafanua vizuri best

Ndiyo maana nikaweka alama ya kuuliza nikiashiria kwamba kuachana kunawezekana kabisa kwa sababu hamjapigiliwa misumari licha ya mafundisho au matakwa ya baadhi ya imani za kidini kwamba hakuna kuachana mpaka kifo kiwatenganishe.

Nimeeleweka sasa?
 
Back
Top Bottom