Kuchasoni Kuchawangu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 620
- 370
Wakuu salam
Naomba ufafanuzi wa sheria hasa kuhusu Kesi ya madai ambayo inamhusisha mtumishi wa umma baada ya kushindwa Kesi na kuamuriwa kulipa gharama na mahakama. Je anaweza akahatarisha ama kupoteza ajira yake pindi akishindwa kulipa gharama za kesi? ama kuna madhara gani anaweza yapata kutokana na kesi ya madai hususani ajira yake?
Karibuni kwa mawazo na ushauri wa kisheria.
Naomba ufafanuzi wa sheria hasa kuhusu Kesi ya madai ambayo inamhusisha mtumishi wa umma baada ya kushindwa Kesi na kuamuriwa kulipa gharama na mahakama. Je anaweza akahatarisha ama kupoteza ajira yake pindi akishindwa kulipa gharama za kesi? ama kuna madhara gani anaweza yapata kutokana na kesi ya madai hususani ajira yake?
Karibuni kwa mawazo na ushauri wa kisheria.