kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Mfungwa akifia gerezani ndugu wanapewa mwili kwa kufuata taratibu husisha magereza, polisi na mkuu wa wilaya unakabidhiwa na kwenda kuzika!hiyo ndugu kupewa mwili ni kwa mahabusu tu lakini kwa mfungwa hampewi mwili ila ndugu wawili wa mfungwa watakuwepo kushuhudia mwili wake na kuhudhuria mazishi kama ushahidi pia kuwakilisha familia..lakini kisheria anazikwa na magereza wakitumia wafungwa ambao ni waislam au wakristo kwani masheikh na walokole wapo wengi magerezani watazika chini ya usimamizi wa askari
Madaktari ndio wataothibitisha kuwa amefariki, kwa hiyo nadhani magereza watasema kafia huko hospitali.Kama akifia gerezani hawawezi kughushi kwamba kafia hospital?
maadam alishasomewa hukumu ya kifungo jela sio wenu tena ni mali ya magereza huyo.. ndugu hamna maamuzi juu yake zaidi ya kupewa taarifa tu.Hata kama kafungwa wiki 2?
Acha zako basi π€£π€£Na magereza wakishakuzika kaburi lako wanaweka mnyororo kuonyesha bado hujamaliza kifungo
fia popote gentleman, utazikwa na wafu wenzako watarajiwa,Kwa kosa gani?πππ ukifia gerezani nani atauzika!?
labda useme hizo sheria zimebadilishwa miaka ya hivi karibuni..walifanyaga hivyo kuzuia wale wenye mapesa kufake kifo ili kutoka gerezani kijanja maana pesa ingetembea kwa wahusika wote wanaodhinisha au kuthibitisha kifo..ndo wakaweka sheria hiyo mfungwa akifa azikwe huo huko magereza ili kuepusha michongo kama hiyo..labda kwa sasahivi sheria zimelegezwa kidogoMfungwa akifia gerezani ndugu wanapewa mwili kwa kufuata taratibu husisha magereza, polisi na mkuu wa wilaya unakabidhiwa na kwenda kuzika!
We blaza wewe, aisee nimecheka sanaKwa kosa gani?πππ ukifia gerezani nani atauzika!?
mwili au mifupa ya skeleton..ndio imeisha hivyo haina reverseKifungo kikiisha hawawezi kukabidhiwa mwili wakauzike tena?
Mimi ni professional mortuary attendant.. (Retired)fia popote gentleman, utazikwa na wafu wenzako watarajiwa,
utachukuliwa na kuhifadhiwa kwenye majokofu ya kuhifadhia maiti na kwa wakati muafaka utazikwa kwa heshma kama binadamu.
hakuna habari kama za wahdzabe kwamba ukifa wanakuacha hapo hapo ulipofia wao wanahama kabisa eneo hilo.π
kuna marehem jiran. alkua kifungon, alifia kule mageleza.Wafungwa nao ni binadamu kama sisi tuu. Wanaugua na wanaweza kupoteza maisha wakiwa kifungoni.. Je sheria inasemaje?
Zamani tuliambiwa mfungwa aliye kifungoni akipata madhila ya kupoteza maisha huzikwa na serikali kupitia magereza na ndugu zake huja kupewa taarifa baada ya kifungo kwisha.. Je hii ni kweli?
Na kama ni kweli je sheria ni haki? Sijawahi kushuhudia mazishi ya mfungwa anayetumikia kifungo.. Sitaki kuamini kwamba hawafi..!
Wanasheria tunaomba ufafanuzi kwenye hili..
Natangulisha shukrani
Alikuelewa Ndio maana akajibu uzi wake huu ukifungwa Alafu ukaenda kufia jelaππ just a jokeHukumwelewa, kasema uzi ufungwe baada ya jibu sahihi kupatikana
Mkuu wa kitengo GENTAMYCINEKwa kosa gani?πππ ukifia gerezani nani atauzika!?
Samahani kwani mtu anapokuwa depo JKT au JWT akifa Sheria pia Huwa inasemajeWafungwa nao ni binadamu kama sisi tuu. Wanaugua na wanaweza kupoteza maisha wakiwa kifungoni.. Je sheria inasemaje?
Zamani tuliambiwa mfungwa aliye kifungoni akipata madhila ya kupoteza maisha huzikwa na serikali kupitia magereza na ndugu zake huja kupewa taarifa baada ya kifungo kwisha.. Je hii ni kweli?
Na kama ni kweli je sheria ni haki? Sijawahi kushuhudia mazishi ya mfungwa anayetumikia kifungo.. Sitaki kuamini kwamba hawafi..!
Wanasheria tunaomba ufafanuzi kwenye hili..
Natangulisha shukraniππΏππΏππΏ
Wacha utani banaNa magereza wakishakuzika kaburi lako wanaweka mnyororo kuonyesha bado hujamaliza kifungo