Sheria inasemaje mfungwa anapofia jela?

Sheria inasemaje mfungwa anapofia jela?

hiyo ndugu kupewa mwili ni kwa mahabusu tu lakini kwa mfungwa hampewi mwili ila ndugu wawili wa mfungwa watakuwepo kushuhudia mwili wake na kuhudhuria mazishi kama ushahidi pia kuwakilisha familia..lakini kisheria anazikwa na magereza wakitumia wafungwa ambao ni waislam au wakristo kwani masheikh na walokole wapo wengi magerezani watazika chini ya usimamizi wa askari
Mfungwa akifia gerezani ndugu wanapewa mwili kwa kufuata taratibu husisha magereza, polisi na mkuu wa wilaya unakabidhiwa na kwenda kuzika!
 
Kwa kosa gani?😭😭😭 ukifia gerezani nani atauzika!?
fia popote gentleman, utazikwa na wafu wenzako watarajiwa,

utachukuliwa na kuhifadhiwa kwenye majokofu ya kuhifadhia maiti na kwa wakati muafaka utazikwa kwa heshma kama binadamu.

hakuna habari kama za wahdzabe kwamba ukifa wanakuacha hapo hapo ulipofia wao wanahama kabisa eneo hilo.🐒
 
Mfungwa akifia gerezani ndugu wanapewa mwili kwa kufuata taratibu husisha magereza, polisi na mkuu wa wilaya unakabidhiwa na kwenda kuzika!
labda useme hizo sheria zimebadilishwa miaka ya hivi karibuni..walifanyaga hivyo kuzuia wale wenye mapesa kufake kifo ili kutoka gerezani kijanja maana pesa ingetembea kwa wahusika wote wanaodhinisha au kuthibitisha kifo..ndo wakaweka sheria hiyo mfungwa akifa azikwe huo huko magereza ili kuepusha michongo kama hiyo..labda kwa sasahivi sheria zimelegezwa kidogo
 
fia popote gentleman, utazikwa na wafu wenzako watarajiwa,

utachukuliwa na kuhifadhiwa kwenye majokofu ya kuhifadhia maiti na kwa wakati muafaka utazikwa kwa heshma kama binadamu.

hakuna habari kama za wahdzabe kwamba ukifa wanakuacha hapo hapo ulipofia wao wanahama kabisa eneo hilo.🐒
Mimi ni professional mortuary attendant.. (Retired)
 
Wafungwa nao ni binadamu kama sisi tuu. Wanaugua na wanaweza kupoteza maisha wakiwa kifungoni.. Je sheria inasemaje?

Zamani tuliambiwa mfungwa aliye kifungoni akipata madhila ya kupoteza maisha huzikwa na serikali kupitia magereza na ndugu zake huja kupewa taarifa baada ya kifungo kwisha.. Je hii ni kweli?
Na kama ni kweli je sheria ni haki? Sijawahi kushuhudia mazishi ya mfungwa anayetumikia kifungo.. Sitaki kuamini kwamba hawafi..!

Wanasheria tunaomba ufafanuzi kwenye hili..
Natangulisha shukrani
kuna marehem jiran. alkua kifungon, alifia kule mageleza.
ndugu walipewa taarifa wakafata mwili wake.
 
Wafungwa nao ni binadamu kama sisi tuu. Wanaugua na wanaweza kupoteza maisha wakiwa kifungoni.. Je sheria inasemaje?

Zamani tuliambiwa mfungwa aliye kifungoni akipata madhila ya kupoteza maisha huzikwa na serikali kupitia magereza na ndugu zake huja kupewa taarifa baada ya kifungo kwisha.. Je hii ni kweli?
Na kama ni kweli je sheria ni haki? Sijawahi kushuhudia mazishi ya mfungwa anayetumikia kifungo.. Sitaki kuamini kwamba hawafi..!

Wanasheria tunaomba ufafanuzi kwenye hili..
Natangulisha shukrani🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Samahani kwani mtu anapokuwa depo JKT au JWT akifa Sheria pia Huwa inasemaje
 
Tazama sheri ya Magereza hapa Kifungu namba 34 kinaruhusu mwili kuchukuliwa ila ufanyiwe taratibu za uchunguzi na Daktari

34. Disposal of bodies of deceased prisoners​

(1)When a prisoner dies either in prison or in hospital the officer-in-charge shall take all reasonable steps to inform the relatives of the deceased prisoner of the death and, after the medical examination of the body by the medical officer, a relative shall be allowed to collect the body for burial in accordance with the rites of the religious denomination to which the prisoner belonged.(2)If a deceased prisoner has no relatives, or if a relative of the deceased prisoner does not collect the body within a reasonable time, the body shall be disposed of in such manner as the Commissioner may determine.
 
Back
Top Bottom