Sheria inasemaje, mtu kutembea na mke wa mtu?

Mhe. LY

Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
29
Reaction score
12
Wanajamvi...nauliza. ..sheria inasemaje kwenye swala la:-

Mwanamme kutembea na mke wa mtu. Ushahidi upo.



#Refer case ya Nabii mwingira...etc
 
Well haya sasa wanasheria mioneshane uwezo! JUROR NIPO STANDBY KUTOA MAAMUZI.
 
Mtu yeyote kufanya mapenzi na mume au mke wa mtu mwingine ni kosa, na endapo itathibitika yule aliyetendewa anaweza kuwafungulia kesi ya ugoni mahakamani.
 
Polisi hakuna kesi kwa sababu ni makubaliano ya watu wazima. Neno makubaliano ndio linatofautisha na kesi ya jinai iitwayo UBAKAJI.

Kimsingi kama mke wa mtu amefumaniwa linakuwa ni shauri la madai lenye lengo la kudai fidia au kuvunja ndoa na kutoa talaka. Kuna wakati mwenye mke yeye atadai fidia kwa kudhalilishwa na kitendo hicho lakini kuna wakati ataona kuwa kwa kitendo hicho hawezi tena kuishi na mke wake na kuona kwamba hakuna kipuli cha kuweza kukarabati NDOA YAKE ZAIDI YA KUIVUNJA NA KUIOMBA MAHAKAMA IVUJE NA KUTOA TALAKA.

Sio kila mdaku wa mtaani sheria inamtambua kuwa kafanya fumanizi. Ni lazima awe mume halisi au kama mume yupo mbali ndugu wa karibu kabisa na mume na awe ameambatana na mashahidi wengine wa kuithibitishia mahakama kama kweli fumanizi lilitokea(Hii ni kwa mujibu wa sheria inayohusu hali za watu)
 
Mke wa mtu sumu.....hapo tunamalizana kimjinimjini.


1. TAFUTA ACID ( sh. 50000)...mmwagie huyo jamaa. Ni pm kama utahitaji.

2. TAfuta bastora...sh.laki moja na nusu...ikiwa na risasi..sh. 200000. Ni pm kama utahitaji.

3. Tafuta washkaji wamteke huyo mwizi wako....kisha wampigie kwa tigo mpaka ashindwe kutembea. Kwa hapa Dar sh. 400000 tu..usafiri wako.

Kwa mikoani sh. 700000. Usafiri na malazi ya siku mbili juu yako. Ni pm kama utahitaji huduma hii.


4. Chukua picha ya mshkaji peleke kwa Mganga wa jadi. Chagua..awe zombi au afe. Mi naweza kukusaidia mtaalamu wa ukweli kabisa. Kitu kinafanyika dakika 0 na majibu yanaonekana ndani ya dakika 5. Unamtumia njiwa mpaka anapoishi....unaua familia nzima...yeye, mkewe na wanawe...mpaka house gero.


5. Mke wa Mtu sumu.......chukua sumu...ongea na jamaa wa sehemu ambao anapendelea kula chakula au kunywa bia.


Daa...ni pm....mbona swala simple tu.
 
Duh kuna watu wauwaji kweli yani..yani uuze bastola ili mwenzio kakatishiwe maisha
 
Baibe: unashangaa nini sasa??..unajua maana ya ndoa wewe???


Hivi unajua kwamba mtu kutembea na mume au mke wa mtu ni sawa na mtu kukupiga risasi ya kichwa???

Nanukuu...Mr II. "Kupima ukimwi sio lazima utoe damu lita tano au ndoo ndio uonekane"

Kikwete "Ongeza na za kwako"

Pinda " Tuwapige tu"
 
Last edited by a moderator:
sheria ya jamhuri ya mungano wa Tanzania siifahamu hia naijua sheria ya Dr.chichi......kodi washkaji wamle tigo jamaa,piga picha zisambaze mtandaoni,kwa mke wake,watoto wake na kwa wakwe zake
 
Hukumu hapo ni faini ya kushikwa ugoni hii hutozwa na local authority mi nnayo risit niliyopewa nilitozwa 40,000
 

Nimekuogopa aisee inaonekana umekaa kimagendo sana
 
Wanajamvi...nauliza. ..sheria inasemaje kwenye swala la:-

Mwanamme kutembea na mke wa mtu. Ushahidi upo.



#Refer case ya Nabii mwingira...etc

Hapo kila mwenye mke ana sheria yake, kwa mfano mjomba anawafunga familia nzima kama akina babu seya.
 
Mambo ya kupelekana mahakamani kwa sasa hayana nafasi,ukimfumania mkeo na njemba unamtigolize njemba.
 
Kifungu cha 65b cha mwana FA kinasema ukimegewa nawe mtafute mnyonge ummegee. tehe tehe
 
nani atatozwa faini kati ya mwanamume na mwanake?! Je mke pia anaweza mshitaki mwanamke mwingine kwa fumanizi la mumewe?

Kwa mtazamo wangu ikiwa wote wapo >18 na kuna makubaliano inakuwa ngumu ...ila labda kwa minajili ya ku process talaka
 

mimi nikimfumania mume wangu nadhan likubwa nitakalofanya ni kuondoka yote hayo ya nini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…