Sheria inasemaje timu kumchezesha mchezaji mwenye kadi za njano 3?

Sheria inasemaje timu kumchezesha mchezaji mwenye kadi za njano 3?

He, kumbe kanuni inatekelezeka kulingana na raundi🙂!!
Yaani huyo mfadhili wenu anayetaka kuwanunua ni bonge la 'poyoyo' kweli kweli, yaani anasubiri adi zimebakia mechi 6 ndiyo anatoa mamilioni ya 'kulainisha' na 'kusafisha' njia ambayo kwa kiasi kikubwa yameishia mifukoni mwa watoto wa mujini akina kaburu na mgosi.
 
Kwa ilichofanya tff ni sawa na kuzipa kazi klabu pinzani kuweka rekodi ya kadi za wapinzani wao wakati hiyo si kazi yao.

Ligi iliyopita Azam alinyang'anywa pointi kwa kosa hilo ikiwa imepita miezzi mitatu tena bila klabu waliyocheza nayo kulalamika. Je, hii sio double standards!?
Tena mwaka 2013/2014 legia walzwa kutok poland ilifuzu champion league..but ilipokwa nafasi yao na uefa bodi kwa kitendo cha kumchezesha mchezaji mwenye kadi mbili za njano

Hapa ndio soka la bongo lilipofikia ukomo

Malinz alianza kukataza mashabiki wa simba wasiitwe 4G baada ya matokeo ya mabaya ya Algeria...sasa kaamua kuwatuliza kwa kuwapa point zao...je azam msimu uliopita walifanyiwa nini??

Naona huu ndio mwisho wa Jamal Malinzi...

Club ya poland..walituma maombi mengi kwenda Uefa..kuomba kukubaliwa..but kitendo cha kuchezesha mchezaji mwenye kadi mbili za njano.kilo wa disqualify kushiriki uefa..akapewa nafasi hiyo celtic

The same applied kwa simba walihitaji kupewa point 3 kwa mchezaji kagera kucheza ilhari akiwa na kadi mbili za manjano
 
Yaani huyo mfadhili wenu anayetaka kuwanunua ni bonge la 'poyoyo' kweli kweli, yaani anasubiri adi zimebakia mechi 6 ndiyo anatoa mamilioni ya 'kulainisha' na 'kusafisha' njia ambayo kwa kiasi kikubwa yameishia mifukoni mwa watoto wa mujini akina kaburu na mgosi.

Yaani wewe ndio ulikuwa unasema una nondo kichwani halafu unaweza kumtukana mtu ni 'poyoyo' pasipo kosa lolote? Kwa nini unamtukana mtu ambaye hayupo kujadiliana na wewe?

Nashukuru umejitambulisha rasmi ni mtu wa aina na kukutendea haki zaidi ni kukuweka kwenye ignore list tu
 
Kwenye kutoa point tatu kwa timu shindwa ni mawazo ya kijima, hata kama sheria inasema hivyo ni bora kuiacha.
Hapa cha msingi ni kuinyang'anya timu yenye makosa na kumuadhibu mchezaji husika lakini sio kuipa timu shindwa point tatu NO! Maana walikimbizana uwanjani wakashindwa.
 
Kwenye kutoa point tatu kwa timu shindwa ni mawazo ya kijima, hata kama sheria inasema hivyo ni bora kuiacha.
Hapa cha msingi ni kuinyang'anya timu yenye makosa na kumuadhibu mchezaji husika lakini sio kuipa timu shindwa point tatu NO! Maana walikimbizana uwanjani wakashindwa.

Kuna mantiki kidogo kwenye hoja yako kwa si vema kupata pointi za mezani, lkn unatakiwa kutoa remedy kwa timu pinzani kwa sababu haikushindwa kihalali. Ili ushindwe kihalali lazima uwe na wachezaji halali.

Kwa mujibu wa fair play, kama hujashindwa kihalali ni sawa na kuwa hujashindwa!!. Lazima Tifutifu wakune kichwa zaidi kutafuta njia bora zaidi
 
Utapambana uwanjani wakati goli za halali zinakataliwa ila goli za netball zinakubaliwa.Acheni kuropoka nyie vyura! Huu upuuzi ndio husababisha tunatolewa kwa vipigo vya kijinga kama vile timu ilicheza pungufu.
 
Nasikia Kagera sugar walimpiga mtu katerero kwenye mto ngono karibu na kijiji cha Ruterangoma
 
Umenena vyema sana kiongozi. Tatizo ni kuwa suala hili linaingizwa ushabiki . ndio maana hukumu hii ni sawa na kuwa imeruhusu klabu kuchezesha wachezaji wenye kadi tatu au hata nyekundu ili mradi tu timu pinzani isilalamike.

Tena mwaka 2013/2014 legia walzwa kutok poland ilifuzu champion league..but ilipokwa nafasi yao na uefa bodi kwa kitendo cha kumchezesha mchezaji mwenye kadi mbili za njano

Hapa ndio soka la bongo lilipofikia ukomo

Malinz alianza kukataza mashabiki wa simba wasiitwe 4G baada ya matokeo ya mabaya ya Algeria...sasa kaamua kuwatuliza kwa kuwapa point zao...je azam msimu uliopita walifanyiwa nini??

Naona huu ndio mwisho wa Jamal Malinzi...

Club ya poland..walituma maombi mengi kwenda Uefa..kuomba kukubaliwa..but kitendo cha kuchezesha mchezaji mwenye kadi mbili za njano.kilo wa disqualify kushiriki uefa..akapewa nafasi hiyo celtic

The same applied kwa simba walihitaji kupewa point 3 kwa mchezaji kagera kucheza ilhari akiwa na kadi mbili za manjano
 
Kwa waliostaarabika, huwa ni fine kali sana kwa team husika (ikibidi na mchezaji mwenyewe) lakini matokeo ya uwanjani yanabaki kama yalivyo. Kwa kupinga walichofanya wale wahuni wa ''kamati ya masaa 72'' TFF huenda wakawa wamepatia hapa japo bado hawajailima fine Kagera kama ikithibitika kweli yule mchezaji alikuwa ana kadi 3 za Njano
 
Kwa waliostaaribika, huwa ni fine kali sana kwa team husika (ikibidi na mchezaji mwenyewe) lakini matokeo ya uwanjani yanabaki kama yalivyo. Kwa kupinga walichofanya wale wahuni wa ''kamati ya masaa 72'' TFF huenda wakawa wamepatia hapa japo bado hawajailima fine Kagera kama ikithibitika kweli yule mchezaji alikuwa ana kadi 3 za Njano

Hiyo "huenda" ndio tatizo lenyewe lilipo. Lazima vitu viwe straight jamaa ana kadi au hana na kanuni inasemaje?
 
JINSI YA KUICHANGIA KLABU YETU.

[emoji830] VODACOM M-PESA.
1.Piga *150*00#
2.Chagua 4 - Lipa kwa M- Pesa.
3. Chagua 4- Ingiza namba (123123)
4. Weka Kumbukumbu Namba (150334)
5. Weka Kiasi.
6. weka namba ya siri.
7. Utapata ujumbe wa uthibitisho.

[emoji830] TIGO PESA.
1. Piga *150*01#
2. Chagua namba 6 (Huduma za kifedha)
3. Chagua namba 5 (Selcom Pay).
4. Ingiza namba ya Malipo (150334).
5. Weka kiasi.
6. Ingiza namba ya siri.
7. Utapata Ujumbe wa uthibitisho wa muamala.

[emoji830] AIRTEL MONEY.
1. piga *150*60#
2. Chagua namba 5( Fanya Malipo)
3.Chagua namba 2 ( Uchaguzi wa biashara)
4.Chagua namba 3 (Manunuzi)
5. Chagua namba 3 (Selcom)
6. Weka kiasi.
7.Ingiza namba ya malipo (150334)
8.Weka namba ya siri.
9. Utapata Ujumbe wa uthibitisho wa muamala.

UKIFANYA HIVO UTAKUWA UMEICHANGIA KLABU YAKO, HONGERA SANA MWANANCHI! PIA ITAKUWA VEMA UKITUONESHA UJUMBE WAKO HAPA WA MALIPO. . PIA WAHAMASISHE NA WENGINE KUCHANGIA.
 
JINSI YA KUICHANGIA KLABU YETU.

[emoji830] VODACOM M-PESA.
1.Piga *150*00#
2.Chagua 4 - Lipa kwa M- Pesa.
3. Chagua 4- Ingiza namba (123123)
4. Weka Kumbukumbu Namba (150334)
5. Weka Kiasi.
6. weka namba ya siri.
7. Utapata ujumbe wa uthibitisho.

[emoji830] TIGO PESA.
1. Piga *150*01#
2. Chagua namba 6 (Huduma za kifedha)
3. Chagua namba 5 (Selcom Pay).
4. Ingiza namba ya Malipo (150334).
5. Weka kiasi.
6. Ingiza namba ya siri.
7. Utapata Ujumbe wa uthibitisho wa muamala.

[emoji830] AIRTEL MONEY.
1. piga *150*60#
2. Chagua namba 5( Fanya Malipo)
3.Chagua namba 2 ( Uchaguzi wa biashara)
4.Chagua namba 3 (Manunuzi)
5. Chagua namba 3 (Selcom)
6. Weka kiasi.
7.Ingiza namba ya malipo (150334)
8.Weka namba ya siri.
9. Utapata Ujumbe wa uthibitisho wa muamala.

UKIFANYA HIVO UTAKUWA UMEICHANGIA KLABU YAKO, HONGERA SANA MWANANCHI! PIA ITAKUWA VEMA UKITUONESHA UJUMBE WAKO HAPA WA MALIPO. . PIA WAHAMASISHE NA WENGINE KUCHANGIA.
Timu yenu ipii? Isije kuwa malinzi f.c
 
Kuna mantiki kidogo kwenye hoja yako kwa si vema kupata pointi za mezani, lkn unatakiwa kutoa remedy kwa timu pinzani kwa sababu haikushindwa kihalali. Ili ushindwe kihalali lazima uwe na wachezaji halali.

Kwa mujibu wa fair play, kama hujashindwa kihalali ni sawa na kuwa hujashindwa!!. Lazima Tifutifu wakune kichwa zaidi kutafuta njia bora zaidi
Tatizo ni Bodi ya Ligi kushindwa kutekeleza majukumu yao. Ni kweli kila timu ina wajibu wa kuchunga takwimu zake. Lakini mwenye wajibu wa kutunza takwimu za Ligi nzima na kuratibu Matumizi yake ni Kamati ya Ligi. Yenyewe ndiyo inapaswa kuwazindua vilabu kwenye kila kikao kinachotangulia pambano (pre-match meeting) kila mchezaji anapokuwa anaziwilika kucheza mechi hiyo kwa sababu ya kutumikia adhabu itokanayo na kuoneshwa kadi. Kwamba mechi haikutangazwa mubashara si sababu ya Kamati hiyo kutoweka kumbukumbu hiyo au kutotekeleza wajibu huo. Kuna njia nyingi, sahihi na rahisi za wasimamizi wa mechi kuwasilisha takwimu za mechi husika kwenye sekriterieti ya Makao Makuu inayoweka na kuratibu kumbukumbu hizo. Kadhalika njia hizohizo zingepaswa kutumika kuwafikishia takwimu hizo wasimamizi wa mechi husika kwa matumizi ya kabla ya mechi. Kama hilo linashinda, lipi litawezekana?
 
Hivi Simba angekua na point za kutosha kuchukua ubingwa nini kingemzuia? Wacheze mpira point ziko uwanjani, hili la kusubiria points mezani tena baada ya kufungwa ni aibu kwa timu kama Simba. Wajipange kwa msimu ujao, timu iwe bora, watachukua tu.

Hapa kinachotafutwa ni haki wala si ushindi wa mezani, kama ndo hivyo unavyofikiri basi sheria inayosema team ikimchezesha mchejazi mwenye kadi tatu za njano itanyang'anywa points 3 IFUTWE. Malinzi nilikuwa namheshimu sana ila kwa hili sitamsamehe. Ukabila na Uyanga unaharibu maamuzi ya TFF. Tumuombe JPM aingilie kati Simba tupewe points 3, pia aitumbue TFF, ukabila na Uyanga umezidi TFF!!!!!
 
Back
Top Bottom