Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Sasa utamlinganisha na jpm ambaye aliharibu uchumi wa nchi hii. Huoni samia anavyofufua sector binafsi iliyouawa na jpm.
Kipindi cha jpm sector binafsi ilikuwa inapumulia mashine wafanyakazi wanafukuzwa ovyoovyo ili kupungiza gharama. Sasa hivi wale waliofukuzwa kwa mahotrli na mabank kugungwa wamerudi kazini.
Kwa nini samia asionekane ni lulu. Maskini tu wa fikra na wazembe wa utafutaji ndo wanamchukia samia
Kwa Chama kipi cha upinzani?Utabiri wa sheikh Yahaya utatimia soon, wacha ninunue popcorn 🍿
Mkuu usimbeze; Nchi hii lolote linaweza kutokea, ebu liangalie hili la hawa COVID 19 walivyo ingia Bungeni. Hadi leo hakuna ajuae wameingiaje pamoja na vyombo vyote vikuu vitatu (dola, mahakama na bunge) kukinzana juu ya uwepo wao.Jitahidi hata kuwaza kesho utakula nini kuliko kuwaza mambo ambayo hayawezi kutokea.
Alitabirije mwamba tupeane hzo madinUtabiri wa sheikh Yahaya utatimia soon, wacha ninunue popcorn 🍿
Muwe mnasoma katiba ili msisumbue watu na maswali ya kipumbavu. Hicho anachouliza jibu lake lipo kwenye katiba.Mkuu usimbeze; Nchi hii lolote linaweza kutokea, ebu liangalie hili la hawa COVID 19 walivyo ingia Bungeni. Hadi leo hakuna ajuae wameingiaje pamoja na vyombo vyote vikuu vitatu (dola, mahakama na bunge) kukinzana juu ya uwepo wao.
Mkuu, naona ufahamu wako ni mdogo sana, na nina shaka na elumu yako, ndio maana unakimbilia kwenye kutukana. JF ni yenye watu waelewa na wastaalabu, sio wote tuna tumikia buku 7, haya majina ya kujificha ficha yasikufanye uwe mjinga.Muwe mnasoma katiba ili msisumbue watu na maswali ya kipumbavu. Hicho anachouliza jibu lake lipo kwenye katiba.
Elumu, wastaalabu. Kajifunze kwanza kuandika.Mkuu, naona ufahamu wako ni mdogo sana, na nina shaka na elumu yako, ndio maana unakimbilia kwenye kutukana. JF ni yenye watu waelewa na wastaalabu, sio wote tuna tumikia buku 7, haya majina ya kujificha ficha yasikufanye uwe mjinga.
Swali lako ni zuri sana maana linaonesha wewe ni maamuma wa Katiba. Ungekuwa umeisoma, wala usingetuuliza humu.Mi sijui sana sheria ila naomba kuelimishw akuhusu hilo mana politics is thw game of all possible
Na akijibiwa kwa style kama ya maneno yake anaanza kung'aka...Ulipaswa umjibu swali lake kwa ustaarabu na sio haya maneno ya kuudhi unayomtakia.
sasa si uumpe muongozo kiongozi, shida iko wapi?Swali lako ni zuri sana maana linaonesha wewe ni maamuma wa Katiba. Ungekuwa umeisoma, wala usingetuuliza humu.
Mkuu, hayo ni makosa ya uchapaji, lakini ume elewa vyema tu.Elumu, wastaalabu. Kajifunze kwanza kuandika.