Kama Global Publishers wanaweza kuthibitisha kuwa
(a) Kama MAWE (WEMA) aliingia ofisini kwao bila ruhusa hapa kosa la kuingia kwa jinai linaweza kumuhusu
(b) MAWE mara baada ya kuingia kwa jinai, kama alisababisha uvunjifu wa amani, ukosefu wa utulivu, ufuraihaji wa uhuru binafsi basi kosa la sheria za madhara zinaweza kumuhusu
(d) Kama MAWE kabla ya kuingia, mara baada ya kuingia na wakati wa kutoka alitumia lugha ya kejeli, matusi, fedheha basi kesi ya jina na madai zitamuhusu
To spice it up;
Jinsi alivyo nyoa upara kama mama wa Kimasai kapendeza saana kuuza sura kwenye viunga vya Mahakama zetu