Tembele
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 1,152
- 343
Nimekuwa nkiangalia hili tukio la wema kuvamia ofisi za Global publishers, na chamsingi labda watu wa sheria wanisaidie sheria inasemaje kama umeandikwa na chombo cha habari na hujaridhika na habari husika, hata kama ni katika magazeti ya udaku.
Last edited by a moderator: