Sheria inayohusu siasa vyuo vikuu, tanzania?

Kidafani

Member
Joined
May 30, 2011
Posts
28
Reaction score
9
Naomba msaada wa kueleweshwa: siasa vyuoni inakatazwa na sheria gani?
Inakataza to what extent (inakataza nini hasa)?

Na haki ya kiraia ya kushiriki kwenye siasa kwa wanavyuo wanaipata vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…