Kidafani Member Joined May 30, 2011 Posts 28 Reaction score 9 Dec 3, 2012 #1 Naomba msaada wa kueleweshwa: siasa vyuoni inakatazwa na sheria gani? Inakataza to what extent (inakataza nini hasa)? Na haki ya kiraia ya kushiriki kwenye siasa kwa wanavyuo wanaipata vipi?
Naomba msaada wa kueleweshwa: siasa vyuoni inakatazwa na sheria gani? Inakataza to what extent (inakataza nini hasa)? Na haki ya kiraia ya kushiriki kwenye siasa kwa wanavyuo wanaipata vipi?