Sheria inayohusu siasa vyuo vikuu, tanzania?

Sheria inayohusu siasa vyuo vikuu, tanzania?

Kidafani

Member
Joined
May 30, 2011
Posts
28
Reaction score
9
Naomba msaada wa kueleweshwa: siasa vyuoni inakatazwa na sheria gani?
Inakataza to what extent (inakataza nini hasa)?

Na haki ya kiraia ya kushiriki kwenye siasa kwa wanavyuo wanaipata vipi?
 
Back
Top Bottom