Sheria inayolinda bendera ya taifa, adhabu za papo kwa papo bila ya Mahakama

Sheria inayolinda bendera ya taifa, adhabu za papo kwa papo bila ya Mahakama

Idd Ninga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
5,497
Reaction score
4,775
Wengi hatufahamu sheria inayotumika katika kuilinda bendera ya taifa na kuiheshimu.

Wakati wa ushushwaji wa bendera watu hutakiwa kusimama lakini pia wengi hawafahamu kuhusu hilo wala sababu ya uwepo wake.

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania ni kweli mtu anatakiwa kusimama wakati wa ushushaji na upandishaji wa bendera ya taifa?

Adhabu gani hutolewa kwa atakae kaidi zoezi hili?

Je, sheria inaruhusu polisi, Jeshi ama security yoyote kumpa mtu adhabu baada ya kutembea wakati wa ushushwaji au upandishaji wa bendera ya taifa?

Tujuzane ili nasi tuwajuze wengine.
 
Mkuu,

Usipoteze muda kusubiria majibu humu JF platform.

Bali wewe fanya hivi, kesho muda wa kupandisha au kushusha Bendera ya Taifa wewe pitia kituo chochote cha polisi kilicho karibu na eneo unalopatikana muda wanafanya kitendo cha kupandisha au kushusha sasa wewe tembea kama umbali wa hatua 5 hadi 10 kutoka ulipo mringoti wa Bendera ya Taifa anapokuwa anaishusha au kuipandisha mhusika.

Naamini, utaleta majibu mubashara kabisa humu JF platform bila chengachenga kuhusu sheria, taratibu na adhabu.
 
Ambapo unashindwa kunielewa ni wapi? Ngoja nikukumbushe kama hukusoma vizuri.

HIVI INARUHUSIWA KWA MTU KUPEWA ADHABU YA PAPO HAPO IWAPO ATATEMBEA WAKATI BENDERA IKITEREMSHWA AU KUPANDISHWA?

Sa hapo huelewi nini tena, na kama hoja yako ni mashuleni basi kulikuwa hakuna haja ya kupeana elimu humu kwa kuwa shuleni wanafundisha hata jinsi ya kutumia barabara. Muhimu toa tu jibu, kama hauna poa subiri watakuja wajuzi watafafanua.
 
Simama kishujaa, wima/180° kipindi inashushwa au pandishwa ukiwa ndani ya 100 meters.

NB: Nmesema kwa uzoefu wa skuli na mtaani.

For techies tuwasubiri LAWMAN watupe vifungu na ughalamu wa ilo
 
Mtaani kwetu kuna kituo cha polisi tena barabarani kabisa hadi mjengo wao umepigwa X na TANROAD.

Upo senta sehemu ambayo watu wanamove freely and openly.

Kuna kipindi watu hawajasikia filimbi since someone walking down street minding his/her own business.

Au Matatizo ya Masikio na hawa jamaa wakishakuona wanakudaka ile paapa Kunja ngumi kwenye kokoto sehemu ambayo kila mtu anakuona na maneno machafu kibao.

Hapa hawaangalii upoje,tena kama umeuchomekea ndio kabisa watakudhalalisha hadi uumbuke. Swali la kwanza ww umesoma?

Juzi rafiki yangu alidakwa yaani yy hakuisikia filimbi ya kwanza maana alikuwa anatembea tokea mbali (filimbi inaimbwa yy yupo mbali) sasa ile ya kutembea yy anasimama.

Aisee alishambuliwa kama nyuki na mzinga vile.

Hapa nkakumbuka why wanafanya hivi?
 
Pole nadhani ni wewe, Ungewaeleza kuwa wewe ni muamini wa dhehebu la mashahidi wa Jehovah wangekuelewa.

Wao hawaheshimu wimbo wa taifa wala bendera bali Mungu pekee.

Nini wanafanya ili kutoonyesha tofauti na sisi wengine, wanaepuka kuonyesha dharau kwenye vitu vinavyoheshimika nasi kama kumtukuza Rais kama mungu, kusimama wakati wimbo wa taifa ukichezwa na hata bendera wanakaa mbali navyo kidogo.

Nadhani hao ni maPC/ wader au maCOPLO wachache wasio naweledi na kazi yao unahaki ya kutoa malalamiko yako kwa kiongozi wao
 
Pole nadhani ni wewe, Ungewaeleza kuwa wewe ni muamini wa dhehebu la mashahidi wa Jehovah wangekuelewa.

Wao hawaheshimu wimbo wa taifa wala bendera bali Mungu pekee.

Nini wanafanya ili kutoonyesha tofauti na sisi wengine, wanaepuka kuonyesha dharau kwenye vitu vinavyoheshimika nasi kama kumtukuza Rais kama mungu, kusimama wakati wimbo wa taifa ukichezwa na hata bendera wanakaa mbali navyo kidogo.

Nadhani hao ni maPC/ wader au maCOPLO wachache wasio naweledi na kazi yao unahaki ya kutoa malalamiko yako kwa kiongozi wao
Uliwahi kusikilizwa kwa hiyo hoja ya mashahidi wa Yehova?
 
Mtaani kwetu kuna kituo cha polisi tena barabarani kabisa hadi mjengo wao umepigwa X na TANROAD. Upo senta sehemu ambayo watu wanamove freely and openly. Kuna kipindi watu hawajasikia filimbi since someone walking down street minding his/her own business. Au Matatizo ya Masikio na hawa jamaa wakishakuona wanakudaka ile paapa Kunja ngumi kwenye kokoto sehemu ambayo kila mtu anakuona na maneno machafu kibao. Hapa hawaangalii upoje,tena kama umeuchomekea ndio kabisa watakudhalalisha hadi uumbuke. Swali la kwanza ww umesoma?
Juzi rafiki yangu alidakwa yaani yy hakuisikia filimbi ya kwanza maana alikuwa anatembea tokea mbali (filimbi inaimbwa yy yupo mbali) sasa ile ya kutembea yy anasimama. Aisee alishambuliwa kama nyuki na mzinga vile.
Hapa nkakumbuka why wanafanya hivi?
Wala haisaidii kitu. Ila shukuru umekunja ngumi kwa kushikwa na polisi.

Siku umejichanganya ukadakwa na wajeda unatembea bendera ikishuka, ndio utajua ni kwanini inaheshimika.

Mama yangu tena nakwambia, mnakumbuka kufuturu saa ikifika, ila muda wa bendera hamtaki kujua.
 
Siku ukisimamishwa road kwamba kuna rais anapita, wewe pitiliza na gari, ukiulizwa sema simtambui.
Utataja mpaka uzao wake wa tano nyuma[emoji1787][emoji1787].
Tunahitajika Kuheshimu mawazo ya mtu.
Mimi siwatambui kwa sababu moja wao wamechangamana na siasa na katika Imani yangu 'Geouniorld' siwezi kuruhusu hilo siwatambui, sivitambui na sivijui waheshimu mawazo yangu Pia.
 
Tunahitajika Kuheshimu mawazo ya mtu.
Mimi siwatambui kwa sababu moja wao wamechangamana na siasa na katika Imani yangu 'Geouniorld' siwezi kuruhusu hilo siwatambui, sivitambui na sivijui waheshimu mawazo yangu Pia.
Kama unaishia kuandika tu, ni wazi hata wewe unatakiwa kuheshimiwa mawazo yako, ila ukifanya kwa vitendo, umewadharau nao watakudharau.
 
Kama unaishia kuandika tu, ni wazi hata wewe unatakiwa kuheshimiwa mawazo yako, ila ukifanya kwa vitendo, umewadharau nao watakudharau.
Wao wakidharau kwa kufunga barabara huyo mtu sijui ndiye nani apite nami nitadharau kwa kupita.

Nikipigwa kwa kutosimama sababu ya bendera nami natajibu mashambulizi.

Maandiko ya 'Geouniorld' yanasema:
- Akupigae konzi mjibu kwa ngumi.
- Akurushiae mawe mmiminie risasi.
- Akupae pipi mbariki kwa nanasi.
 
Back
Top Bottom