Sheria inayolinda bendera ya taifa, adhabu za papo kwa papo bila ya Mahakama

Sheria inayolinda bendera ya taifa, adhabu za papo kwa papo bila ya Mahakama

Wao wakidharau kwa kufunga barabara huyo mtu sijui ndiye nani apite nami nitadharau kwa kupita.

Nikipigwa kwa kutosimama sababu ya bendera nami natajibu mashambulizi.

Maandiko ya 'Geouniorld' yanasema:
- Akupigae konzi mjibu kwa ngumi.
- Akurushiae mawe mmiminie risasi.
- Akupae pipi mbariki kwa nanasi.
Haaya mkuu.
 
Sitambui Bendera, Wimbo wa Taifa, Rais and co.

Sivijui, Sitambui na Sihitaji kufahamu.
Watu Kama Nyinyi Ni Wazuri Sana Tena Sana,, Ukiingia Kwenye 18 za Wazee wa Ngwasuma Lazima Ufurahi Ata kama Ulikuwa Ujala Mwaka Mzma We Endelea Hivyohivyo One Day Utakuja Kuuelewa Mzikii.
 
Wao wakidharau kwa kufunga barabara huyo mtu sijui ndiye nani apite nami nitadharau kwa kupita.

Nikipigwa kwa kutosimama sababu ya bendera nami natajibu mashambulizi.

Maandiko ya 'Geouniorld' yanasema:
- Akupigae konzi mjibu kwa ngumi.
- Akurushiae mawe mmiminie risasi.
- Akupae pipi mbariki kwa nanasi.
[emoji16][emoji16][emoji16] aahahaha etehe tehe ... haya mkuu.
 
Duniani pote ipo hivyo,bendera ikishusha au kupandishwa na wakati wa wimbo wa taifa lazima usimame.
 
Ngoja niende kituo cha Polisi Leo saa12 halafu wakiishusha niendelee na mambo yangu,nitaleta mrejesho....
 
Kuna baadhi ya punda hawezi kutembea bila bakora, kuna baadhi ya nyangau uzalendo kwao ni mpaka wafundishwe kwa pushapu
 
kuna sehemu nilipita nikasikia filimbi bendera inashushwa nikasimama....kulikua na vijana km sita walinicheka sana,aliekua anashusha bendera ni askari wa kike aliwaangalia akaenda kukabidhi bendera ndani...
 
Kuna baadhi ya punda hawezi kutembea bila bakora, kuna baadhi ya nyangau uzalendo kwao ni mpaka wafundishwe kwa pushapu
Uzalendo ndio mdudu gani..!? Punda kama wewe ndio unafaa kwa mabwana wako waliokufundisha hiyo Dini

Inchi imejaa majizi matupu_huo mfano Bora wa uzalendo unautoa wapi..? Hivi kama askari huoni aibu kushurutisha mlala hoi asiyejua tofauti ya filimbi na honi za bodaboda.!? Mabwege nyie
 
Hivi kumbe bado bendera zinashushwa..................... juzi niliona mgambo au sijui askari akishusha kimya kimya tena saa 12:10
 
Back
Top Bottom