Wao wakidharau kwa kufunga barabara huyo mtu sijui ndiye nani apite nami nitadharau kwa kupita.
Nikipigwa kwa kutosimama sababu ya bendera nami natajibu mashambulizi.
Maandiko ya 'Geouniorld' yanasema:
- Akupigae konzi mjibu kwa ngumi.
- Akurushiae mawe mmiminie risasi.
- Akupae pipi mbariki kwa nanasi.