tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Ndugu wanajamvi,
Nimejitokeza hapa jukwaani kuuliza swali hili ili nipate ufafauzi wa kisheria. Je, kuna sheria yoyote iliyotungwa na Bunge la JMT inayombana mfanyabishara kuuza bidhaa? Na kama ipo, ilitungwa lini na ni adhabu gani inayotolewa (kifungo cha miaka kadhaa jela, kutaifisha bidhaa, au kupigwa faini) kwa yeyote anayeivunja?
Najua humu jukwaani kuna wanasheria waliobobea katika sheria watatusaidia kutoa ufafanuzi wa kisheria. Ninaamini pia baadhi ya wanaJF ambao ni mbumbumbu wa sheria kama kama mimi watanufaika na ufafanuzi huo. Mods tafadhali nilinde…wala msihamishe uzi huu kuupeleka kwingine. Uache hapa hapa hadi tupate majawabu mujarabu kuhusu mkanganyiko huu wa kisheria kutoka kwa wataalamu kabla nchi haijapata hasara kwa kushtakiwa na wafanyabiashara wanaolazimishwa kuuza bidhaa.
Nimejitokeza hapa jukwaani kuuliza swali hili ili nipate ufafauzi wa kisheria. Je, kuna sheria yoyote iliyotungwa na Bunge la JMT inayombana mfanyabishara kuuza bidhaa? Na kama ipo, ilitungwa lini na ni adhabu gani inayotolewa (kifungo cha miaka kadhaa jela, kutaifisha bidhaa, au kupigwa faini) kwa yeyote anayeivunja?
Najua humu jukwaani kuna wanasheria waliobobea katika sheria watatusaidia kutoa ufafanuzi wa kisheria. Ninaamini pia baadhi ya wanaJF ambao ni mbumbumbu wa sheria kama kama mimi watanufaika na ufafanuzi huo. Mods tafadhali nilinde…wala msihamishe uzi huu kuupeleka kwingine. Uache hapa hapa hadi tupate majawabu mujarabu kuhusu mkanganyiko huu wa kisheria kutoka kwa wataalamu kabla nchi haijapata hasara kwa kushtakiwa na wafanyabiashara wanaolazimishwa kuuza bidhaa.