Sheria ipi ya nchi inazuia kaka kumuoa dada?

Sheria ipi ya nchi inazuia kaka kumuoa dada?

Penal Code CAP 16 and Precedent of Court of Appeal of Tanzania
 
Pita kidogo

Screenshot_20220513-080528_1.jpg
 
Usinikumbushe nilimkula mdogo wangu (mtoto wa mama mkubwa).

Ananiambia "kaka mimi wanaume wameniumiza kwahiyo naomba unipe tulizo la nafsi".

Nilipiga hesabu akipata mimba ndugu zangu watatuonaje?

Nibadili gia angani hakuamini.

Ingawa nilimkula kama mara 3 hivi.

Mpaka leo hajaolewa yupo home.

Huwa namkumbusha tunabaki kucheka.
 
Ungesema pia umeangalia vifungu vyote na haujaona sheria ikitoa maelekezo.

So hata kutafuta hujatafuta ila umekuja kuuliza swali ambalo ungekomaa nalo online unapata majibu.
 
Ungesema pia umeangalia vifungu vyote na haujaona sheria ikitoa maelekezo.

So hata kutafuta hujatafuta ila umekuja kuuliza swali ambalo ungekomaa nalo online unapata majibu.

Hata hapa jf si sehemu sahihi ya kutafuta pia?
Kuingia jf nayo pia ni online tu.
 
Usinikumbushe nilimkula mdogo wangu (mtoto wa mama mkubwa).

Ananiambia "kaka mimi wanaume wameniumiza kwahiyo naomba unipe tulizo la nafsi".

Nilipiga hesabu akipata mimba ndugu zangu watatuonaje?

Nibadili gia angani hakuamini.

Ingawa nilimkula kama mara 3 hivi.

Mpaka leo hajaolewa yupo home.

Huwa namkumbusha tunabaki kucheka.
Waarabu,wahindi na wapemba ndio zao.
 
Back
Top Bottom