Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka hiki kipengele kipo kwenye sheria ya kanuni na adhabu. Kifungu nimekisahauWanasheria na wenye elimu juu ya hili,sheria ipi inamzuia kaka kumuoa dada.msaada
Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 R.E 2019 Cap 29Wanasheria na wenye elimu juu ya hili, sheria ipi inamzuia kaka kumuoa dada.
Msaada
Ungesema pia umeangalia vifungu vyote na haujaona sheria ikitoa maelekezo.
So hata kutafuta hujatafuta ila umekuja kuuliza swali ambalo ungekomaa nalo online unapata majibu.
Haya sawa. Atafute Katiba humu adownload asomeHata hapa jf si sehemu sahihi ya kutafuta pia?
Kuingia jf nayo pia ni online tu.
Kwano maadili yetu yalitoka wapi??,Kama Kaini na Abeli walila na Dada zao kuna shida gani kwa mtoa mada kufanya hivyo.Si maadili yetu.
Waarabu,wahindi na wapemba ndio zao.Usinikumbushe nilimkula mdogo wangu (mtoto wa mama mkubwa).
Ananiambia "kaka mimi wanaume wameniumiza kwahiyo naomba unipe tulizo la nafsi".
Nilipiga hesabu akipata mimba ndugu zangu watatuonaje?
Nibadili gia angani hakuamini.
Ingawa nilimkula kama mara 3 hivi.
Mpaka leo hajaolewa yupo home.
Huwa namkumbusha tunabaki kucheka.
Kuna jirani yangu hapa kaoa mtoto wa shangazi yake, tumbo mmoja na Baba yake,tena watu wa Kigoma.Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 R.E 2019 Cap 29
Una laana wewe!Wanasheria na wenye elimu juu ya hili, sheria ipi inamzuia kaka kumuoa dada.
Msaada
Kuna jirani yangu hapa kaoa mtoto wa shangazi yake, tumbo mmoja na Baba yake,tena watu wa Kigoma.